ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Sasa ni Rasmi Kuwa Simba Watavaana Na TP Mazembe Kwenye Kilele Cha Simba Day.
Hii imethibitishwa na Mtendaji Mkuu wa Simba Madam Barba Kupitia Simba App.
Ushauri: Ni wakati sasa Wa vilabu vya Simba na Yanga Kuacha Kucheza Mechi za Mchangani Bali watafute Ushindani Kwa Timu zingine kubwa Sio Kila mwaka Ni Congo, Zambia Sijui Zimbabwe Mara Kenya.
Kwa sasa Simba Kucheza na TP MAZEMBE NI MEchi Ya Mchangani Kwa Simba.
Hii imethibitishwa na Mtendaji Mkuu wa Simba Madam Barba Kupitia Simba App.
Ushauri: Ni wakati sasa Wa vilabu vya Simba na Yanga Kuacha Kucheza Mechi za Mchangani Bali watafute Ushindani Kwa Timu zingine kubwa Sio Kila mwaka Ni Congo, Zambia Sijui Zimbabwe Mara Kenya.
Kwa sasa Simba Kucheza na TP MAZEMBE NI MEchi Ya Mchangani Kwa Simba.