Simba vs TP Mazembe: Rekodi za nyuma

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Rekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:

Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi

Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.

TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!
 
Kwasasa rekodi hazina maana tena maana siku hizi timu nyingi zimesomana sana, na mambo ya rekodi ya nyuma au kuwa nyumbani hayana nafasi sana,

Maana inategemea kipindi hicho timu zimejipanga vipi, na kwa wakati huu zijoke

LAKIN NAWATAHADHARISHA SIMBA,
WATAKUTANA NA NGUVU YA KENGE KU MAJYI,

NDENGE NINI EZARI MAKAMBO YA MAKIADI luambo makiadi
 
Ha
Kwasasa rekodi hazina maana tena maana siku hizi timu nyingi zimesomana sana, na mambo ya rekodi ya nyuma au kuwa nyumbani hayana nafasi sana,

Maana inategemea kipindi hicho timu zimejipanga vipi, na kwa wakati huu zijoke

LAKIN NAWATAHADHARISHA SIMBA,
WATAKUTANA NA NGUVU YA KENGE KU MAJYI,

NDENGE NINI EZARI MAKAMBO YA MAKIADI luambo makiadi
kuna kitu hapo, TP Mazembe hawatishi kama watu wanavyofikiria. Kati ya timu zote zilizobaki ESPIRANCE ndiyo inayotisha. Wengine ni wa kawaida sana!!
 
TP Mazembe ni saizi ya Simba kabisa. Ujanja wake ni nyumbani tu. Kwenye makundi ameshinda mechi tatu tu na zote ni za nyumbani. Timu ngumu iliyobaki ni ES Tunis (Esperence) ya Tunisia ambao ni mabingwa watetezi. Yeye kwenye makundi hakuwahi kuchezewa kichapo! Kati ya pointi 18 amejikusanyia pointi 14, kapoteza pointi 4 kwa draw mbili za ugenini. Waliobaki wote pamoja na Simba wameshinda mechi tatu tatu tu na zote zimeshinda mechi za nyumbani. Kwa hiyo hakuna mwenye rekodi ya kutisha hata kutuogopesha zaidi ya ES Tunis!! Come Mazembe and face the Music!!!!!!!!!
 
Acha kujifariji,

Simba inaweza kukomaa kwa draw tu hapo dar ,lakin lubumbashi kunachimbika
Rekodi za hivi karibuni zinaonyesha TP Mazembe hashindi ugenini, ajiandae kwa kichapo na kwake atalia pia, akipona kwake ni sare tu si zaidi ya hapo.
 
TP Mazembe ni saizi ya Simba kabisa. Ujanja wake ni nyumbani tu. Kwenye makundi ameshinda mechi tatu tu na zote ni za nyumbani. Timu ngumu iliyobaki ni ES Tunis (Esperence) ya Tunisia ambao ni mabingwa watetezi. Yeye kwenye makundi hakuwahi kuchezewa kichapo! Kati ya pointi 18 amejikusanyia pointi 14, kapoteza pointi 4 kwa draw mbili za ugenini. Waliobaki wote pamoja na Simba wameshinda mechi tatu tatu tu na zote zimeshinda mechi za nyumbani. Kwa hiyo hakuna mwenye rekodi ya kutisha hata kutuogopesha zaidi ya ES Tunis!! Come Mazembe and face the Music!!!!!!!!!
Acha kujifariji wewe japo mpira ni mpira lakini TP MAZEMBE,kwa mpira uwezo wake ni mkubwa sana kulinganisha na simba.timu imechukua kombe mala tano!!!uilinganishe na timu ambayo kwanza ndio imeingia robo fainali??tatizo letu huwa tunafarijiana tu mdomoni ila moyoni tunajua ukweli kama sio ROHONI!!!baada ya mchzo ndio mnaanza kujifariji oooh ile timu ina uwekezaji mkubwa!!!
 
Rekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:
Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi

Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.
TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!

Ungefanya la maana kama ungetuletea pia matokeo ya michezo ambayo TP Mazembe amecheza kwenye michuano hii kuanzia raundi za mwanzo hadi alipoingia kwenye makundi...pia utuletee huko DRC kwenye ligi TP Mazembe wako nafasi ipi...Halafu utuletee orodha ya wachezaji wao na hasa nyota wao ni akina nani na wanacheza nafasi ipi...Yaani tufahamu namna gani tunaweza kuwakabili wachezaji wao nyota...Halafu utuambie hao TP Mazembe wachezaji wanaotoka nje ya Congo ni wangapi na wanatoka nchi gani...hapo ndipo utakuwa umetusaidia zaidi ingawa siubezi mchango wako hapa kuhusu mjadala huu...
 
Anay
Ungefanya la maana kama ungetuletea pia matokeo ya michezo ambayo TP Mazembe amecheza kwenye michuano hii kuanzia raundi za mwanzo hadi alipoinia kwenye makundi...pia utuletee huko DRC kwenye ligi TP Mazembe wako nafasi ipi...Halafu utuletee orodha ya wachezaji wao na hasa nyota wao ni akina nani na wanacheza nafasi ipi...Yaani tufahamu namna gani tunaweza kuwakabili wachezaji wao nyota...Halafu utuambie hao TP Mazembe wachezaji wanaotoka nje ya Congo ni wangapi na wanatoka nchi gani...hapo ndipo utakuwa umetusaidia zaidi ingawa siubezi mchango wako hapa kuhusu mjadala huu...
Anayetaka hayo aingie mwenyewe google!!
 
Rekodi za nyuma zinaonyesha kuwa Simba na TP Mazembe walikutana mwaka 2011 kwenye CAF Champions League raundi ya kwanza:
Mechi ya kwanza ilipigwa Dar- Simba 2, TP Mazembe 3.
Mechi ya Pili ilipigwa DRC - TP Mazembe 3, Simba 1.
Kwenye mechi ya kwanza magoli ya Simba yalifungwa na Mkina dk 58 na Mbwana Samatta dk 70.
Mechi ya pili goli la simba lilifungwa na Emmanuel Okwi

Samatta aliwasumbua sana, na ndio chanzo cha wao kumnunua. Pia Okwi aliwasumbua sana.
Kiwango cha Simba cha sasa ni kikubwa kulioko cha wakati huo. Na kiwango cha TP Mazembe cha wakati huo ni kikubwa kuliko cha sasa! Wao wameshuka sisi tumepanda. Kwa hiyo Safari hii hawachomoki lazima Simba atafune mtu hapa kwetu na ugenini.
TP Mazembe hana rekodi ya kuifunga Simba magoli mengi.
Simba wanatamani hiyo mechi ingekuwa hata kesho watafune mtu!!
Watakaocheza watakuwa wanaogopa kishenzi asee
 
Ha

kuna kitu hapo, TP Mazembe hawatishi kama watu wanavyofikiria. Kati ya timu zote zilizobaki ESPIRANCE ndiyo inayotisha. Wengine ni wa kawaida sana!!
Katika grp stage alimpa huyu mwarabu 8-0 pale lubumbashi,na huyu huyu aliepigwa 8 ndie alieshika nafasi ya pili kwenye grp la tp mazembe
Screenshot_20190321-152107.jpeg
 
Back
Top Bottom