ile kadi ni halali maana hawakuwa na mpira . Njoso kampiga pepsi wakati wakitembea tu.wachezaji wetu hawako makini haiwezekani unafanya foul kama ile halafu uko ndani ya miguu sita toka golini. kwanza refa katuhurumia sana ilikuwa penalti hata hivyo ila kilichosaidia ni kuwa mchezaji wa setif alifanya reaction ndilo limesaidia naye kupewa kadi ya njano