mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,594
- 8,877
kama ulijua yaani wamepapaswaKuna dalili Ruvu Shooting wakawapapasa Mikia
kama ulijua yaani wamepapaswaKuna dalili Ruvu Shooting wakawapapasa Mikia
Wachezaji wa Simba wanachotufanyia Mungu anawaona jamani roho inaniumaaaaa basi tu
Kuna dalili Ruvu Shooting wakawapapasa Mikia
Aliongea Dr Kigwangala,akaoga matusi kama yote... Mo anaendesha ssc kama familia yake...mkafukuza mtendaji mkuu....akaajiri h/g wake
Mkuu kwema?,kumetokea nn leo?,sikwepo Tanzania,kuna nn mbona thread inatembea kwa speed ya 120km/hr,nijulisje mkuuUlibeti sio?Muddy mwenyewe anabeti
Kuna nn mkuu,kumetokea nn kwan?Ruvu shooting wanacheza mpira wa ridhaa waslahi yao ni kiduchu kabisa zaidi ya kununuliwa chakula siku ya mechi eti ndo mpaka dakika ya 60 Simba haijasawazisha bao moja timu inayolipwa vizuri wachezaji wanalala pazuri nani atavumilia upuuzi huu Simba kufungwa mala mbili mfululizo na vibonde tena na mechi ya Nyumbani? Hakika something wrong somewhre.
Mikiaaa imepapaswaKuna nn mkuu,kumetokea nn kwan?
bwahahahaaa....,wamepiga pira gongo,pira togwa,pira wanzuki,pira mgagani.Mikiaaa imepapaswa
Kama ilivyo mm sijawahi kuelewa sababu za kuitwa starsSahihi kabisa. Ajib pia. Bwalya sjui ndio namba gani aliyecheza ile. Sijawahi kumkubali Ndemla hata siku moja, Hana kiwango cha kucheza Simba labda Ndanda. Timu nzima mchezaji alimuwa Konde Boy tu
5imba kapakatwaMkuu kwema?,kumetokea nn leo?,sikwepo Tanzania,kuna nn mbona thread inatembea kwa speed ya 120km/hr,nijulisje mkuu
Ni kupiga pale pale kwenye mshonoTarehe 7 wananchi watapita mule mule walipopita Prisons na Ruvu shooting
Nakazia!! Na hili wenge walilonalo sasa basi mpaka hiyo tarehe watakuwa nalo bado.Tarehe 7 wananchi watapita mule mule walipopita Prisons na Ruvu shooting
Huyo ndio kiboko wa yule msema ovyo wa mnyero 😀Hahahahaaa. Na mzee wa mpapaso anauliza huku. 😂😂
View attachment 1613214