Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,701
- 45,034
Mabingwa wa Nchi, Simba Sports Club "Mnyama" leo atakuwa uwanja wa nyumbani wa Uhuru kujiuliza dhidi ya Ruvu Shooting wa Mlandizi, Pwani.
Mechi iliyopita mabingwa hao wa Nchi ilikung'utwa bao moja kwa nunge dhidi ya wajelajela Tanzania Prisons! Pia ni mechi ambayo Simba ama Lunyasi iliwakosa wachezaji wake muhimu kama Kagere, Mugalu, Bocco na Chama!
Je, leo Simba wakiwa uwanja wa nyumbani tutarajie kuona soka la aina gani? Na vipi kuhusu matokeo? Je wataamka kutoka kwenye kichapo cha Prisons au wataendelea kulala hasa wakati huu watani zao Yanga nyita ikiendelea kung'aa!
Tupia utabiri wako.
Mechi iliyopita mabingwa hao wa Nchi ilikung'utwa bao moja kwa nunge dhidi ya wajelajela Tanzania Prisons! Pia ni mechi ambayo Simba ama Lunyasi iliwakosa wachezaji wake muhimu kama Kagere, Mugalu, Bocco na Chama!
Je, leo Simba wakiwa uwanja wa nyumbani tutarajie kuona soka la aina gani? Na vipi kuhusu matokeo? Je wataamka kutoka kwenye kichapo cha Prisons au wataendelea kulala hasa wakati huu watani zao Yanga nyita ikiendelea kung'aa!
Tupia utabiri wako.