Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
mkuu tunatakiwa kushinda kama tunataka ubingwa...ngoja wabane muda huu wataachia tu
mkuu tunatakiwa kushinda kama tunataka ubingwa...ngoja wabane muda huu wataachia tu
kwani leo ni ijumaa au weekend yako huanza lini...simba wanataka kuniharibia hii mini-weekend yangu.....:disapointed:
Mkuu kwetu sisi weekend inaanza Jumatanokwani leo ni ijumaa au weekend yako huanza lini...
Pole ndio soka lakini hata hivyo muda bado haujaisha si unakumba mechi ya Man U na West Ham ilivyokuwaSimba wanataka kuniharibia hii mini-weekend yangu.....:disapointed:
Halafu inaisha lini.....Mkuu kwetu sisi weekend inaanza Jumatano
Ukichoka mwenyeweHalafu inaisha lini.....
Dakika na matokeo mapya tafadhali jamani pressure zinapanda wengine huku
Ukichoka mwenyewe
RR umeshika tunguli nini l.o.lJKT 1 Simba 1....dk 35.....Dihile anapewa kadi nyekundu...
As long as ukila bata hautaharibu kazi maana CEO anaweza akakuita ule naye bata Jumatano au Jumatatu lakini siku inayofuata uwe ofisini as usual.naomba nije kufanya kaz ofsn kwenu
RR umeshika tunguli nini l.o.l