Simba VS Lipuli...Kiporo kigumu sana

Ligi kuu tanzania bara kuendelea tena leo majira ya saa kumi

Lipuli fc vs simba sc wakipapatuana uwanja wa samora iringa.

Team hizo zimekutana mara tatu na michezo yote ilimalizika kwa sare.

Nini utabiri wako? Simba wataambulia sare tena au kitambaa hakitatosha?


Screenshot_20190226-104004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi kuu tanzania bara kuendelea tena leo majira ya saa kumi

Lipuli fc vs simba sc wanakipapatuana uwanja wa samora iringa.

Team hizo zimekutana mara tatu na michezo yote ilimalizika kwa sare.

Nini utabiri wako? Simba wataambulia sare tena au kitambaa hakitatosha?


View attachment 1032363

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hutaki kuja na mbwembwe za ile match na Azam maana siku ile uliambulia kichapo.
Taratibu wote mtakuwa wapole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom