Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,149
ila hajawahi fungwa na Simba tangu yupo Geita Gold fcIko wazi kabisa game simba kashatuma m pesa....matola ni mdau lialia wa mikia
Sent using Jamii Forums mobile app
ila hajawahi fungwa na Simba tangu yupo Geita Gold fcIko wazi kabisa game simba kashatuma m pesa....matola ni mdau lialia wa mikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Omba omba FC lile kapu lao wanalopitishaga uwanjani na yale matangazo Azam TV watakua sasa na utajiri mara 10 zaid ya SimbaBasi simba watume mpesa wachukue tu kombe lao, maana ishaonekana wazi hakuna club yenye kumzidi simba kifedha
Sent using unknown device
Asante sana Mwana Paluhengo mwenzangu. Leo tutalishangilia Kwa nguvu chama letu ili limpige mnyama.Mm mwanamsimbazi kulialia lakin leo narud nyumban kwa kamwene wenzangu, Lipuli kwanza kagere baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mapema tu, tunafumba jicho, na mwendo wa tetema
Uyo kagera anampiga underdog uwanja wowote iwe kwa mchina au kaitabaBado mtibwa na kagera sugar.hizi timu huwa ni mwiba Kwa simba.hasa kagera sugar akiwa kwao huko kaitaba
Sent using Jamii Forums mobile app
hata yanga tuliwahonga zile M165 au mnajisahaulisha, acheni na wenzenu tuwahonge, mnawivu sana nyiesimba wameshahonga ili washinde
Ndo uandishi gani huu? Ebu edit comment yako harakaIla kuna kadharau fulani wachrzaji wa simba hukaleta
Mie nlhunikera sana
Yotr na yote Ushindi kwa Simba ni muhim sana
Leo hutaki kuja na mbwembwe za ile match na Azam maana siku ile uliambulia kichapo.Ligi kuu tanzania bara kuendelea tena leo majira ya saa kumi
Lipuli fc vs simba sc wanakipapatuana uwanja wa samora iringa.
Team hizo zimekutana mara tatu na michezo yote ilimalizika kwa sare.
Nini utabiri wako? Simba wataambulia sare tena au kitambaa hakitatosha?
View attachment 1032363
Sent using Jamii Forums mobile app