- Thread starter
- #61
Hakuna Formula kama hii kwenye Soka Kamanda!Hizo timu mbili ulizozitaja tukianza na mtibwa tokea mwaka huu wa 2019 uanze hajashinda hata mechi mmoja na huyo kagera yupo nafasi za kushuka daraja na kina biashara: lakini pia ujue alliance utakayecheza nae hajapoteza mechi hata mmoja kwao