Masika JF-Expert Member Sep 18, 2009 723 30 Mar 25, 2012 #1 Habari wapenda soka naona mashabiki wanazidi kuingia uwanjani kusubiri mtanange unaotarajia kuanza punde karibuni tupeane update,simba oyeeeeee! FT:simba vs Es setif 2:0
Habari wapenda soka naona mashabiki wanazidi kuingia uwanjani kusubiri mtanange unaotarajia kuanza punde karibuni tupeane update,simba oyeeeeee! FT:simba vs Es setif 2:0
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Mar 25, 2012 #4 Jamaa wanapaki basi balaa! Sijui kama kutakua na goli kwa upande wa simba,mpaka sasa ni mapumziko hakuna magoli.
Jamaa wanapaki basi balaa! Sijui kama kutakua na goli kwa upande wa simba,mpaka sasa ni mapumziko hakuna magoli.
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Mar 25, 2012 #5 Bora simba wadroo waende kutengeneza uwanja wao wenye mbigili.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Mar 25, 2012 #6 Hakuna kituo kinachoonyesha live huo mpira?
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,494 17,370 Mar 25, 2012 #8 Simba wanapata bao la pili....ni Boban!!
Masika JF-Expert Member Sep 18, 2009 723 30 Mar 25, 2012 Thread starter #9 Mpira umukwisha sisi 2 wao 0
T TUMY JF-Expert Member Apr 22, 2009 705 93 Mar 25, 2012 #10 Skills4Ever said: Simba wanapata bao la pili....ni Boban!! Click to expand... Ni matokeo mazuri kama Simba watamaliza na ushindi huo wa 2-0 hiyo inatosha kabisa, wajitahidi wasiruhusu bao tu.VIVA SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAA.
Skills4Ever said: Simba wanapata bao la pili....ni Boban!! Click to expand... Ni matokeo mazuri kama Simba watamaliza na ushindi huo wa 2-0 hiyo inatosha kabisa, wajitahidi wasiruhusu bao tu.VIVA SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAA.
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Mar 25, 2012 #13 simba haifiki kokote! Yanga daima mbele.....
M Megawatt B JF-Expert Member Aug 23, 2011 259 69 Mar 25, 2012 #15 Jackbauer said: simba haifiki kokote! Yanga daima mbele..... Click to expand... mbele wapi sasa? Mmepumzika jangwani wenzenu wanaendelea kupanda ndege
Jackbauer said: simba haifiki kokote! Yanga daima mbele..... Click to expand... mbele wapi sasa? Mmepumzika jangwani wenzenu wanaendelea kupanda ndege
Ngigana JF-Expert Member Apr 16, 2010 2,102 1,436 Mar 25, 2012 #16 Ndibalema said: Mh! Wiki hii hatutalala. Click to expand... Mkuu hutalala kwa furaha ya wekundu kushinda au kwa kupigiwa kelele kutokana na ushindi wao? Hamia Madepwende!:violin:
Ndibalema said: Mh! Wiki hii hatutalala. Click to expand... Mkuu hutalala kwa furaha ya wekundu kushinda au kwa kupigiwa kelele kutokana na ushindi wao? Hamia Madepwende!:violin:
KOKUTONA JF-Expert Member Jan 29, 2011 8,649 6,088 Mar 25, 2012 #17 Simbaaaaaa. Hongereni sana sana wanyama.
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Mar 25, 2012 #18 SOURCE: IssaMichuzi Blog
KOKUTONA JF-Expert Member Jan 29, 2011 8,649 6,088 Mar 25, 2012 #19 Ngigana said: Mkuu hutalala kwa furaha ya wekundu kushinda au kwa kupigiwa kelele kutokana na ushindi wao? Hamia Madepwende!:violin: Click to expand... Nimei LIKE.
Ngigana said: Mkuu hutalala kwa furaha ya wekundu kushinda au kwa kupigiwa kelele kutokana na ushindi wao? Hamia Madepwende!:violin: Click to expand... Nimei LIKE.
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Mar 25, 2012 #20 Ila Simba wasibweteke wakienda arabuni wacheze kwa kasi watafute bao la ugenini la mapema la sivyo Waarabu hawaeleweki watawashushieni mvua
Ila Simba wasibweteke wakienda arabuni wacheze kwa kasi watafute bao la ugenini la mapema la sivyo Waarabu hawaeleweki watawashushieni mvua