Anateseka akiwa vikinduKwani unateseka ukiwa wapi
Cha ajabu nini.Utopolo mna shidaYaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner!View attachment 1742082
Unaposema hawana umiliki na timu unamaanisha kuna nani ??Yaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner!View attachment 1742082
mtan unaugulia pande zipi!Mm n shabiki wa yanga ila mashabiki walio wengi wa yanga n vilaza Sana
Mleta post timu yetu unaiona hali yake ilivyo unaona wenzetu leo wanapambana kucheza robo fainal ya champion league sisi timu yetu ambayo haijamilikiwa na mtu ipo wapi Sasa
Unatia kinyaa mkuu naumia walau na sisi angepatikana mtu Kama MO tungekuwa mbali Sana
Utopolo katika ubora wake!! Kwa kuteseka utopolo wako vizuri!Yaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner!View attachment 1742082
Wake zetu wacheni noma tunawafanyia mipango na nyie mwakani mpande ndege,siyo kila siku Kimbinyiko tu na ile mbaula yenu.Yaan mmbebaki kuwa mavuvuzela wa Moo! Angalia sasa owner kama owner!View attachment 1742082