Hii sasa Kali. Hebu moderator mmoja atusaidie hapa. Tuwekeane 50000/= kila MTU. Mtafute moderator tumtumie atunze. Then ten itabaki kwake tisini ataichukua mshindi
Upo tayari tuwekeane hiyo dau ,mi simba naweka 100,000 we yanga weka 50,000 ,dro kila mtu anarudishiwa hela yakeHii sasa Kali. Hebu moderator mmoja atusaidie hapa. Tuwekeane 50000/= kila MTU. Mtafute moderator tumtumie atunze. Then ten itabaki kwake tisini ataichukua mshindi
Hizo mashuti zenu na long pass hazitapita kwa babu onyango
Kaze kitu gani ,tunampiga za kutosha uamuzi tunawaachia nye kama mtabaki naye au mtamfukuzaKaze hana huo mpira taifa.
Akiwa mikoani ndio anacheza huo mfumo.
Naomba kesho uandike uzi wa kutuomba radhi kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kufungwa jela miaka mitatu kwa kipigo cha kesho kwa simba.
Kaze kitu gani ,tunampiga za kutosha uamuzi tunawaachia nye kama mtabaki naye au mtamfukuza
Naona kesho uwe active kwenye hili jukwaa
Mtafute moderator tumpe hela atunze, kama uko Temeke au Kariakoo tupange mahali tuonaneUpo tayari tuwekeane hiyo dau ,mi simba naweka 100,000 we yanga weka 50,000 ,dro kila mtu anarudishiwa hela yake
Hapa! Amuweke Rais, acha matan kwa mkuu wa nchi.Utamchukulia pesa yake bure huyu, yeye aweke jiwe tu.
Hapa! Amuweke Rais, acha matan kwa mkuu wa nchi.