Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani Yanga mnaruhusiwa kuweka Maveterani wenu hapa.
Mohamed Mwameja(tanzania one)
Kasongo Athumani
Alphonce Modest
Deo Mkuki
George Magere Masatu
Hussein Amani Masha
Lenny Ramadhani Maufi
Edward Chumila
Malota Soma (ball juggler)
Dua Said
Damian Kimti
Nteze John
Thomas Kipese (Anko Tom)
George Lucas
Na wengine wengi