Simba SSC ya kitambo hicho

Nilikuta kwenye tawi moja na kunakili hii1st eleven iliyoifunga Yanga 6-0 kwenye mechi ya fainali na kutwaa ubingwa wa TZ. Nadhani hii ndiyo tuitambue kama best 11ya SSC ever

Omar Mahadhi
Shaban Baraza
Mohamed Kajole
Athuman Juma
Mohammed Bakari Tall
Omar Gumbo
Willy Mwaijibe
Khalid Hillal
Jumanne Hassan
Abdallah Kibaden
Abbas Dilunga
 
Nilikuta kwenye tawi moja na kunakili hii1st eleven iliyoifunga Yanga 6-0 kwenye mechi ya fainali na kutwaa ubingwa wa TZ. Nadhani hii ndiyo tuitambue kama best 11ya SSC ever
Kweli hicho kilikuwa kikosi cha miaka yote, ingawa hii ya sasa inatisha kwa kuchukua ubingwa pasipo kufungwa hata game moja. Simba juuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Hii ni simba kweli kweli
 
Samahani sana waungwana, naomba no contact za George Masatu, nina shida muhimu ni kuhusu Gimmy,

samahani kwa usumbufu najua si mahali pake ila nimeona hapa ntapata msaada
 
Zamoyoni Mogela
Hamisi Gaga-Rino
Method Mogela
Fikiri Magoso
Thuweni Ally
 


Aisee umenikumbusha Lenny Ramadhani ngoja nikafute machozi.....R.I.P Lenny
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…