Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,548
Jamani wa JF samahani kama nitawakwaza wengi hasa wapenzi wa Timu ya Simba. Nimesikia leo asubuhi kuwa Uongozi wa Timu ya Soka ya Simba wamekata Rufaa dhidi ya hii timu yenye jina linalotamkika KIFARAGHA napenda kujua ni kwanini wamekata rufaa???