SIMBA - Sitamuonea haya fisadi hata aje na bilioni

Aliwahi kulalamikiwa chaguzi mbalimbali ukiwemo ule wa ndani wa UWT leo aifumbie macho billion? Ha!ha!haaa!!
 
jamani huyu mh Simba nimeambiwa kaokoka kampa yesu maisha yake,na ansali kwa mama rwakatare ni kweli?

Mkuu kwani Lwakatare ameokoka au ni wale wale waliojificha kwa mgongo wa wokovu????!!! Wokovu usikie tu!
 
Simba huyu? Kwani kuzaa na Kitwana Kondo siilitokana na kutoa rushwa ya ngono? Alitaabanisha mwenyewe wakati akihojiwa na gazeti moja hapa nchini kuwa yy na Kitwana walifanya hayo ktk kampeini za udiwani Dar Es Salaam huku akiwa mke wa mtu, raia wa Afrika Kusini, mkimbizi wa ANC. Huyu tangu hapo nilimuona wa ovyo na nilimshauli mke wangu aachane na UWT kwa kuwa ndege wasio fanana mbawa hawaruki pamoja.
 
Huyu mama inaelekea mla rushwa kulinganisha thamani ya uadilifu na hela! Je tujiulize what if ze fisadi anakuja na billioni 2 atamwonea haya? Hivi serikali huwa inawazowa hawa watu wapi kupewa madaraka makubwa namna hii? :confused:

Mawaziri pichu Mkuu. Uwaziri wake kapata kwa rushwa, sasa anajifanya kupambana na rushwa.
 
Sielewi ni vigezo gani Raisi anatumia katika kuwachagua mawaziri na hasa wale wanaoshika wizara nyeti kama ya huyu Mama Sophia Simba.

Tokana na kuchambua maelezo ya mama huyu mama inaonesha wazi kwamba hapaswi kuwa katika baraza la mawaziri achilia mbali kuwa mkuu wa wilaya. Kama Raisi anataka kuwashirisha wanawake wa Tanzania katika baraza la mawaziri kuna wanawake wana akili timamu na uwezo wa kuongoza vyema kabisa kuzidi huyu mama.

Kuna wanawake kama Dr Suma Kaare ambaye amebobea vyema kabisa katika fani ya Utawala (hili linaweza kuthibitishwa kama mta - google na kuangalia kazi zake alizofanya), na pia kuna Mwanadada kama Rosemary Mwakitwange ambaye naye amebobea vyema katika masula ya utawala. Kwanini tuwe na mawaziri bomu na vilaza kama Sophia Simba?

Mkuu acha ukabila; wote uliowataja ni wenzako kutoka Mbeya. Halafu cha kushangaza nimefanya kazi na mmoja wa uliowataja Dr. Kaare ambaye ni principal wa MS-TCDC. Chuo chenyewe kimemshinda kuendesha ataweza uwaziri kweli? Ni mtu wa kunyenyekea Mzungu na Hana msimamo wake mwenyewe; ni kiongozi anayetumia majungu kufanya maamuzi na ambaye hajaweza kutumia elimu yake ya PhD kuongoza watu.

Kwa hapo umechemka, Afadhali ungetuwekea watu wengine bila kuonyesha ukabila wako na kutokumtaja huyu mama ambaye uongozi wake unaweza ukawa na kiwango duni kuliko cha form four leaver mwenye talent ya leadership!
 
Huyu mama si tuliwahi kuambiwa na mzee wetu malecela aliwahi kuugua ugonjwa ambao tiba yake inapatikana pale Mirembe na anatumia vidonge! Si ndie mtetezi mkuu wa mafisadi! Anyway kipindi hiki ni 'mwezi mchanga' tumpuuze au hajameza dawa zake!
 
Aliwahi kulalamikiwa chaguzi mbalimbali ukiwemo ule wa ndani wa UWT leo aifumbie macho billion? Ha!ha!haaa!!
haha mkuu aliwahi mtetea Lowasa kwa kusema "hakuna mwanaume kama Lowasa" akina Seleli wakamwambia "ni mwanaume kwako kwetu ni fisadi tu"
 
Kumbe watu wameishawahi kuweka Price tag yao mapema ,,,,sikulijua hili...'SIMBA' >= 1bil....
 
umoja wa wanawake ccm alitumia rushwa kupata uongozi,leo hii wasema eti unachukia rushwa!
 
Back
Top Bottom