tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,391
- 3,660
Sijui mkuu na ndo maana nimeandika hii taarifa ni Ibrahim masud maestro nimemsikia akisema hivo.Adel Zrane ana PhD kwenye sport science anakosaje vigezo ?
Sijui mkuu na ndo maana nimeandika hii taarifa ni Ibrahim masud maestro nimemsikia akisema hivo.Adel Zrane ana PhD kwenye sport science anakosaje vigezo ?
Adel Zrane ana PhD ya Sport Science katika eneo la viungo anakosa sifa zipi ?Sijui mkuu na ndo maana nimeandika hii taarifa ni Ibrahim masud maestro nimemsikia akisema hivo.
Unachoshangaa ni nini hapo?Adel Zrane ana PhD ya Sport Science katika eneo la viungo anakosa sifa zipi ?
Maybe ngoja nimpe benefit of doubt ?Unachoshangaa ni nini hapo?
Nimekwambia taarifa imetoka kwa mtu ambaye ni mwana simba na ashawahi pia kuwa mjumbe.
TFF waliwaambia Simba huyo jamaa kwanzia mechi inayokuja hatakiwi kuwepo kwenye benchi.
PHD utaipata chuoni lakini ni lazima upitie pia kozi za CAF na UEFA ili upate leseni zao.
Kama watashindwa kuhimili 'pressure' kutoka kwa washabiki na wanachama ndio kutakuwa na migogoro ila kwenye mpira haya ni ya kawaida tu.Huu ndio mwanzo wa migogoro, kuna kila dalili timu itaanza ku-under perform
Yanga haina mechi za kimataifa msimu huu...mchukueni tu.Benchi la ufundi la Yanga limekamilika kila idara! Tuna shida gani sisi mpaka tufikie hatua ya kumchukua kocha wa kukaa jukwaani wakati wa mechi za kimataifa, kutokana na elimu yake ya kuunga unga!!
Labda tumchukue ili akawe msaidizi wa Said Maulid kwenye timu yetu ya U20, au tumpeleke akawe Msaidizi wa Edna Lema kule Yanga Princess.Yanga haina mechi za kimataifa msimu huu...mchukueni tu.