Simba SC Msimu ujao wa Dirisha la Usajili tusiuingie tena huu Mtego mkubwa na wa Akili wa Yanga SC sawa?

AIsee, this is too much, ila I repeat, Yanga kuweni makini jamaa ana warushieni mahindi ili awajaze kwenye tenga halafu alifunike na kuwakamateni kama kuku.
Shauri yenu, msije mkasema hamkuambiwa😃
Una Akili sana Wewe Jamaa. Hongera.
 
Ngoma
Mzamiru
Kanoute...
Ni Aina moja ya wachezaji hawawezi kuforce kwa Kasi.

1.Saido.. until umemuacha anapaswa acheze dk 45 tu,
2.Chama... Umri pia anakuwa bora timu ikiwa na mpira tu.
3.Onana..... ni afadhali na okrah hamna kitu.

Kapombe,Zimbwe wanahitaji kupata mbadala wamechoka Sana... Ndiko limekuwa tatizo la kufungwa.

sisi Simba tunaamini yanga anachezea na timu dhaifu.
 
Walioko Simba Sasa hivi hawana uwezo was kusajili.
Simba toka ukiwa na pesa za kuunga ilikuwa inasajili wachezaji wazuri Ila Sasa hivi ama uwezo mdogo au au ten percent.
Ukiangalia timu ya vijana wamejaa vijana wasio na vipaji.
Ukija timu ya wakubwa usajilu unafanywa bila kuzingatia mahitaji ndio maana unakuta nafasi moja zinejaa watu wengi wakati nafasi nyingine zinakosa wabadala.
Tuna mawinfa wengi lakini hakuna mbadala was shabalala na kwa wachezaji wa ndani wanaosajiliwa wengi uwezo wao ni was kawaida na tumebaki na wachezaji ambao mchango ni mdogo Sana pia kubaki na wachezaji wazee.
 
Yanga SC ni Wajanja na wana akili sana kwani kwa Miaka hii Miwili kila Kipindi cha Usajili kikifika tu Wanajifanya Kutangaza kumtaka Mchezaji fulani na Simba SC kwa Upumbavu wetu (narudia tena kwa Msisitizo kabisa kwa Upumbavu wetu) tunaingia Mkenge na Kukurupuka kuwahi Kumsajili huyo Mchezaji huku Yanga SC 'Waliotujambisha' wanaenda Kumsajili Mchezaji mzuri waliyetuficha na hata hawakumtangaza na Matokeo yake Wachezaji wao Wote Waliowasajili ni Wazuri, wa uhakika, hatari na wameshaingia katika Mfumo.

W akati huku Kwetu ( Simba SC ) aliyetuonyesha Uwezo ni Beki tu Chemalone huku Wengine wakiishia tu Kutusukia Mirasta yao na Kuvaa Mihereni na Mwingine Aubin Kramo akilalamika Kulogwa Kende ( Pumbu ) zake kila Kocha akimpanga katika Mechi.

Msimu ujao Dirisha la Usajili likifika Simba SC tuacheni kukubali 'Kujambishwa' na hawa Yanga SC kisha Kukurupuka Kuwasajili Wachezaji waliowataka Kiuwongo Uwongo ( Kujambisha)

Kisha Wao wanaenda Kuwasajili wale Mahiri 'Waliowapointi' wao kisha wanakuja Kuunganika na Mafundi waliowakuta na Timu zinaanza kula Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na wana Simba SC tunabaki Kusonya tu huku tukidai kuwa Yanga SC wanacheza na Timu dhaifu ( nyepesi ) na sijui Wanazihonga wakati hata Sisi kule Tanga katika Fainali ya Community Shield muda wote walikuwa Wanatuhemea tu hadi Wengine kila mara Kubana Kende ( Pumbu ) zetu Miguuni ili tusifungwe ns Shukran nyingi ziende kwa Mganga wetu tuliyetafutiwa na Kocha ( sasa Mkurugenzi wa Soka la Vijana Simba SC ) Juma Mgunda kwani kwa hali ilivyokuwa Siku ile hata Sisi ( Simba SC ) tulikuwa tunaenda Kula ( Kufungwa ) hizi hizi Tano Tano ( Hamsa Hamsa ) wanazokula Wenzetu kwa sasa.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu Ok?
Ila we jamaa...ni mwandishi mzuri sana ila akilizako unazijua mwenyewe....
Hahahahahahahahahahahahahahahaha....
Kwamba mganga kafanya kazi yake ipasavyo..lasivyo 5 zingewahusu mapeema.
 
Kuna trick Moja hivi Eng Hersi inaitumia ambyo inatumika sana kwenye minada , Ukifika dukani labda la nguo ukakuta Kuna nguo A na B na wewe ukawa umevutiwa mfano na nguo A basi wewe Cha kufanya onyesha interest ya kununua nguo B.

Hapo utakuwa umefanikiwa kumuingiza chaka muuzaji atapandisha bei akiamini umeipenda na utaichukua Kwa bei yeyote ,akipanda sana jifanye umeshindwa bei chukua nguo yako A kiukaini tena huku unajifanya unachukua kishingo upande.

Hersi kawaingiza chaka simba
 
Point nilishangaa simba kujisifu kuiba mchezaji airport hii inaonesha hakuwa kwenye malengo ya kocha bali walimchukua kuwakomoa yanga, huu ni upumbavu
Tena upumbavu uliopitiliza, na naamini baadhi ya 'nataicoon' wa simba hawakufurahishw na hicho kitu wengi wanasubiri muda ufike watoe ya rohoni.
 
Back
Top Bottom