Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 5,068
- 11,284
Mkuu hoja yako ingekua na mashiko kama ungetumia mfano wa mechi ambayo simba amecheza na yanga hapa karibuni sio mechi na wydad.Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?
Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa
Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?
Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that
Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Mkuu wewe hujui mpira,Umekaa kishabiki tuImekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?
Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa
Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?
Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that
Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Hivi kama unafikiri ni jambo la kawaida kwanini kila muda mnasema goli 5?
Kwanini baada ya kunifunga hizo goli 5 uliweka mabango mji mzima?
Hayo yote hayawezi kufanyika ikiwa kama ni desturi yako kupata ushindi huo kwa timu hiyo.
Hayo yote hayawezekani kufanywa na timu kubwa baada ya kuifunga timu ndogo.
Ili hayo yote yawezekane na ku sound kuwa ni logical inatakiwa hadhi ya Club yako iwe ni ndogo na unafanya hivyo kama historia kuwa unasheherekea bahati yako kwa kupata ushindi mkubwa dhidi ya timu kubwa iliyokuzidi.
Hili kombe halina maana yoyote Hata kina lomalisa wamekuwa waangalifu kuumia .
Unaweza kupoteza wachezaji muhimu eti unagombania kombe la mapinduzi , ni siasa Tupu .
Bora yanga warudi Daressalaam hakuna maana yoyote kushindania kombe lisilojulikana nje ya visiwani zanzibar .
Angalia okra amengia na kuumia akishindania kombe la mapinduzi !
Kwani hapo nimechambua nyanya?Mkuu wewe hujui mpira,Umekaa kishabiki tu
Badala ya kuchambua mpira wewe unaongea maneno ya kwenye kanga kama mwanamke wakati ni dume lenye ndevu
Hili jukwaa halikuanzishwa kwa ajili ya kupiga taarabu ,kuna majukwa ya umbea na taarabu
Huna unalowaza zaidi ya simba ,Ukiambiwa simba wachezaji wazee na wametumika sana ,Majibu yako ni Yanga Yanga Yanga
Kila swali la uchambuzi huna majibu zaidi ya kujibu Simba simba simba
Umenifunga katika nyakati gani?Tumekufunga mara ngap ?
Na hata sasa ukileta timu tunakufunga
Unajichosha tu, huyo leo Yanga kesho yupo Simba. Fatilia nyuzi zake vizuri. Ni moja ya mtu anayeongoza kwa kutokuwa na msimamo. Leo atakuja na uzi wa kujifanya ni Simba huku akisifu Simba imekuwa imara, kesho atakuja na uzi simba bado ina cha kujifunza.Umenifunga katika nyakati gani?
Kipindi ambacho wewe ulikuwa wewe ulikuwa unatumiwa na dola kwenye mambo ya kisiasa kwasababu ni Club ya chama?
Unajichosha tu, huyo leo Yanga kesho yupo Simba. Fatilia nyuzi zake vizuri. Ni moja ya mtu anayeongoza kwa kutokuwa na msimamo. Leo atakuja na uzi wa kujifanya ni Simba huku akisifu Simba imekuwa imara, kesho atakuja na uzi simba bado ina cha kujifunza.
Haya ni matusi yan leo Simba waljifunze kwa kvz?
Hawa madogo wanatafuta ugal wa kesho so wanakaza ili kutafuta sajili ila huwez sema wanahvyo viwango.
Mbona hapa bara tunaona Namungo anamkazia sana yanga au simba ila akicheza na mtibwa anapigwa kupigo cha mbwa kokooo.
Yafaa ujue mpira zaid
Umeanza vizuri ila paragraph ya mwisho umeharibu.Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?
Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa
Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?
Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that
Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
hao watoto na wazee wanatafuta sign za timu kubwa.Simba mngecheza kama wale jamaa mngefika mbali
Hakuna nyongeza ..Imekosa magoli matatu at the same time uanataka tuchukue ushauri wake?
Unaiona imecheza vizuri kwasababu imekutana na mpinzani wa standard yake. Mbinu za kumkabili Gongowazi huwezi ku apply kwa Wydad utachekwa
Ebu tufikirie hili kidogo.....unaishaurije Simba ambayo ni ya 7 Africa kuwa ichukue ushauri kutoka timu ambayo hata CAF hawaijui?
Hivi watani zetu Al Ahly watajiskiaje? Imagine that
Mi nadhani huu ushauri ungepaswa kuwafaa wale wenzao waliotoa nao sare wakautumie kujirekebisha kwa wenzao huko kwenye hatua zinazofuata ili wafike robo
Natamanikuwaonawengi ligikuu baraaHawa vijana wanahitaji UONGOZI bora na SUPPORT ikiwemo financial .
Kama kuna TAJIRI anahitaji kuwekeza kwenye mpira , KVZ ni sehemu sahihi.
Laiti SSC ikingekuwa inacheza kwa spirit ya hawa wachezaji wa KVZ ingekuwa ni balaa.
Walikosa utulivu wa kumalizia tu, otherwise YANGA ilikuwa afe sio goli chini ya 3.
SSC Inahitaji beki yenye ushirikiano na spirit kama KVZ, kuna haja hii mechi aione kocha wa SSC.
Umepigwa mpira kweli kweli yani ngingii ngi , kama wangekuwa na utulivu pale mbele……. Tungesema mengine.
Kwanza vijana hawakabii kwa macho, yaani ukiingia kwa Line yao tu, wana kublock, sio SSC wachezaji watamsindikiza mshambuliaji hadi eneo la hatari.
Kazi kukomaa chama chama, kumbe kuna vijana huko kwa Mama Kizimkazi ni balaa
Kuna haja ligi ya bara na unguja iwe ni ligi moja ili timu kama hizi ziwe supported.
Umepigwa mpira kweli kweli Leo , hamna kuzoeana
Salute to KVZ, mliushika mpira watoto wa Mama Kizimkazi