Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
- Thread starter
- #21
Haina maana kwamba tusikosoe pale mtu anapotoa mawazo yake eti Kisa ya freedom of speeche tena hasa akiwa public figure na mimi sijamuona mjinga ni vile tu nmemshusha vyeo nilivyompa
Freedom of Expression
Mbona mnapata Shida sana mtu akitumia uhuru wake kuongea na kujieleza
Hayo ni mawazo yake ambayo ni tofauti na wewe, kwahyo huna sababu ya kumpinga
Watanzania tumetengeneza cycle ya kumuona mtu hafai, mjinga, jeuri, kilaza endapo ataongea, kufanya, tofauti na wish zako