Simba msamehe Manula naye ni binadamu sawa alikengeuka lakini msameheni

Simba msamehe Manula naye ni binadamu sawa alikengeuka lakini msameheni

Unajua mengi wapi mnafiki tu na roho mbaya kama kawaida ya wabongo, mtu ungekuwa unajua mengi si ungeweka evidence hapa? Kitendo tu cha kuuanzisha huu uzi ni kumsagia kunguni kwa kuonesha alishiriki kweli kwenye rushwa sasa malizia uzi wako kwa kuweka ushahidi sio kuchafua tu mchezaji ili future yake ilipotee mazima. Kupangwa kwa Manula kwenye ile derby ilikuwa ni surprise kwa kila mmoja na pengine hata Yanga hawakutaraji kama angedaka yeye kwasababu Ayoub ndiye aliyekuwa na match fitness na muendelezo mzuri wa kiwango, hivyo kama kufikiria kuhongwa lazima angehongwa ambaye ana asilimia kubwa kucheza mechi tofauti na Manula ambaye hakuwahi kucheza mechi kwa kipindi kirefu sana kutokana na majeraha. Mashabiki wa bongo mnaendeshwa sana na propaganda
Hao ni wachawi tu mkuu, ile game kama kuna aliyehongwa basi ni kocha ambaye aliyemuanzisha Manula kutoka majeruhi baadala ya Lakred ambaye ndio alikuwa anafanya vizuri kwa wakati huo. Manula kafanyika kafara ya uongozi mbovu usiowajibika kipindi hicho, kumbuka walimuandama na Chama pia pamoja na Baleke, timu ilivyokuwa inastruggle kupata matokeo wakakubali yaishe kwa Chama na kweli angalau alifufua kidogo tukaanza pata matokeo.

Manula anaonewa kwasababu ni mtanzania ila ingekuwa mchezaji wa kigeni sasa hivi Simba ingekuwa kimeumana kule CAS.
 
Hivi ni kweli alikula pesa za yanga?
Wamemfanya Mbuzi wa kafara tu,yule alikuwa anatoka kwenye majeraha,wakaforce acheze........hizi timu na viongozi wao huwa wanakwepa kuwajibika kwa kutafuta wa kumuanguashia gunia la misumari
 
Hao ni wachawi tu mkuu, ile game kama kuna aliyehongwa basi ni kocha ambaye aliyemuanzisha Manula kutoka majeruhi baadala ya Lakred ambaye ndio alikuwa anafanya vizuri kwa wakati huo. Manula kafanyika kafara ya uongozi mbovu usiowajibika kipindi hicho, kumbuka walimuandama na Chama pia pamoja na Baleke, timu ilivyokuwa inastruggle kupata matokeo wakakubali yaishe kwa Chama na kweli angalau alifufua kidogo tukaanza pata matokeo.

Manula anaonewa kwasababu ni mtanzania ila ingekuwa mchezaji wa kigeni sasa hivi Simba ingekuwa kimeumana kule CAS.
Uko sahihi
 
Unajua mengi wapi mnafiki tu na roho mbaya kama kawaida ya wabongo, mtu ungekuwa unajua mengi si ungeweka evidence hapa? Kitendo tu cha kuuanzisha huu uzi ni kumsagia kunguni kwa kuonesha alishiriki kweli kwenye rushwa sasa malizia uzi wako kwa kuweka ushahidi sio kuchafua tu mchezaji ili future yake ilipotee mazima. Kupangwa kwa Manula kwenye ile derby ilikuwa ni surprise kwa kila mmoja na pengine hata Yanga hawakutaraji kama angedaka yeye kwasababu Ayoub ndiye aliyekuwa na match fitness na muendelezo mzuri wa kiwango, hivyo kama kufikiria kuhongwa lazima angehongwa ambaye ana asilimia kubwa kucheza mechi tofauti na Manula ambaye hakuwahi kucheza mechi kwa kipindi kirefu sana kutokana na majeraha. Mashabiki wa bongo mnaendeshwa sana na propaganda
Dogo najua lengo lako. Unataka manura aendelee kuharibiwa au kuchafuliwa. Huo mtego hautaninasa. Sisemi chochote. Sababu nataka manura asamehewe na si azidi kuharibiwa kipaji chake.

Sisi tunaofahamu tunafahamu na viongozi wawili wa Simba walihusishwa tunajua kila kitu na wachezaji wengine 4 pia. Usione tunanyamaza sababu hatutaki kuwasaidia mikia kwenye upuuzi wao. Lakini sisi baba zako tunajua mengi si sawa kila wakati kumuuliza baba yako kwa nini alimwacha mama yako. Au kwa nini halali na mamayo kitanda kimoja.

Nyie mikia mumsamehe manura ni utoto na njaa vilimsumbua. Na yanga hatuna mpango huo naye tena.
 
Hao ni wachawi tu mkuu, ile game kama kuna aliyehongwa basi ni kocha ambaye aliyemuanzisha Manula kutoka majeruhi baadala ya Lakred ambaye ndio alikuwa anafanya vizuri kwa wakati huo. Manula kafanyika kafara ya uongozi mbovu usiowajibika kipindi hicho, kumbuka walimuandama na Chama pia pamoja na Baleke, timu ilivyokuwa inastruggle kupata matokeo wakakubali yaishe kwa Chama na kweli angalau alifufua kidogo tukaanza pata matokeo.

Manula anaonewa kwasababu ni mtanzania ila ingekuwa mchezaji wa kigeni sasa hivi Simba ingekuwa kimeumana kule CAS.
Shabiki wa Simba Chizi Maarifa anachembe chembe ya uchawi na anajifanya kuuma na kupuliza wakati lengo la uzi wake ni kuendelea kumchonganisha Manula na mashabiki wa Simba
 
Shabiki wa Simba Chizi Maarifa anachembe chembe ya uchawi na anajifanya kuuma na kupuliza wakati lengo la uzi wake ni kuendelea kumchonganisha Manula na mashabiki wa Simba
Nimeshazoea kuitwa hivyo hainidhuru. Maana mtu akionekana tu ana akili anafikiria mnamwita Simba. Ila akiwa hamnazo anakuwa Mwananchi. Hilo haliniyumbishi. Ukimwona mtu anatoka na taulo chumbani mwa mama yako ndiye baba yako ujue.
 
Najua bado mnaumia kwa wale wachezaji wenu kushirikiana nasi. Manula ni binadamu msimpe adhabu kubwa hivi.

Ni tamaa tu ambazo binadamu wanakuwa nazo lakini msiue kipaji chake cha mpira please.
Post za rainbow nation hizi
 
Mliambiwa fanyeni usajili kwakua Yanga wako vizuri mkawa mna puuza.
Sasa mtaendelea kutandikwa na Yanga mpaka mshike adabu, mta tafuta visingizio mpaka vita kwisha.

Mpango uliopo ni kuwafunga Simba mara 10 mfulululizo.
Yanga hii iliyochukua wachezaji 7 kutoka simba mliokuwa mnawaita wazee
 
Back
Top Bottom