Simba mrejesheni dimbani Jonas Mkude

kukumsela

JF-Expert Member
Oct 13, 2018
721
904
Mimi ni shabiki kindakindaki wa klabu ya Simba binafsi toka huyu jamaa (jonas mkude aka nungunungu) awe nje ya uwanja pengo lake linaoneka na hata baada ya kusajiliwa kiungo wa kimataifa kutoka uganda Engineer Thadey Lwanga. Namshauri kocha wangu wa simba dider gomez amrejeshe dimbani shujaa wetu jonas mwana wa mkude. #SIMBANGUVUMOJA

Naomba kuwasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom