Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 579
Msimu wa ligi ulivyoanza timu ya Simba ilikuwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri katika mashindano yote anayoshiriki, lakini imekuwa tofauti,
Kombe la mapinduzi Simba ndiyo alianza kuaga Yanga akafuatia,
Kombe la Fa Simba alianza kuaga Yanga akafuatia,
Kimataifa Simba ameaga Yanga anaendelea,
Huku kwenye ligi kuu ni swala la mda tu, wanaludi kwenye nafasi yao,
Simba wanafurahia kuongoza ligi,
Yanga watafurahia kunyakua taji
Kombe la mapinduzi Simba ndiyo alianza kuaga Yanga akafuatia,
Kombe la Fa Simba alianza kuaga Yanga akafuatia,
Kimataifa Simba ameaga Yanga anaendelea,
Huku kwenye ligi kuu ni swala la mda tu, wanaludi kwenye nafasi yao,
Simba wanafurahia kuongoza ligi,
Yanga watafurahia kunyakua taji