Simba mfalme wa nyika na mapori yote

Simba mfalme wa nyika na mapori yote

Eh! ina maana wewe hujawahi kusikia Yesu ni Simba wa Yuda!! au Islamu wewe? au Pagani wewe!!, Yes, our Lord Jesus Christ is Simba wa Yuda, due to his Power. Hili ni moja ya jina ambalo Yesu anaitwa kutokana na nguvu na uwezo wake, kwa wakristo watanielewa zaidi.

ok. sasa mkuu kuna uhusiano gani kati ya simba mnyama na yesu?
 
Simba anatisha ndani ya msitu lakini ikitokea akipambana ana kwa ana na chui/ tiger au nyoka aina ya Cobra, lazima simba atimue mbio, maana hawa wadudu wanatisha mbaya. Mwenye maoni tofauti atujuze hapa.
 
mkuu kivipi wakati yeye ni mfalme wa mwitu?

Huwa likitokea kundi la tembo likapita karibu na walipo simba huwa wanawapisha wapite kwaiyo tukiongelea ule ubabe tembo ni mwisho. Ila tafuta kwenye YouTube (HONEY BADGER VS LION) utajua kuwa kuna wanyama wabishi.
 
Simba anatisha ndani ya msitu lakini ikitokea akipambana ana kwa ana na chui/ tiger au nyoka aina ya Cobra, lazima simba atimue mbio, maana hawa wadudu wanatisha mbaya. Mwenye maoni tofauti atujuze hapa.

Chui amwambii kitu Simba ila Tiger ni mkubwa kuliko Simba na wanyama wote mbele ya Black Mamba(Koboko) wanatimuaga mbio ila Chatu ni chakula kwa Chui na Simba.
 
Wanyama wote jamii ya paka wanatumia akili nyingi kuliko nguvu.sasa huyu simba kajaliwa ukubwa kwahiyo ukijumlisha na akili ndo anakuwa noma.
 
Ndo huyu?
 

Attachments

  • 1432844673700.jpg
    1432844673700.jpg
    44 KB · Views: 177
Pamoja na ubabe wooote huo kuna ka hirizi rahisi sana kumkabili simba yaani utampiga mpaka dole! Damu ya bikra simba atalegea sana! na hizo dawa zipo wanatumia san watalii! ndo maana wakitaka kumpiga picha wanamsogelea, sasa miafrica ina dharau hizi dawa
 
Back
Top Bottom