lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Hivi nimejiuliza sana kwa nini simba anaitwa mfalme wa nyika yaani yeye ndio kidume ndani ya pori, simba ana umbo dogo ya kawaida sana ila cha ajabu ana nguvu za ajabu sana mpaka anaangusha wanyama wazito kama nyati,faru,twiga,nyumbu,punda, kwa nini simba ana nguvu sana na haogopi mnyama yoyote yaani yeye ni kushambulia tu.
Na ana ubavu hatari hata ngombe maksai atakalishwa chini atake asitake kuna usemi kuwa simba ana hirizi yenye nguvu za wanaume 40. ndio maana ana mapafu ya hatari. swali kwa nini simba anaitwa mfalme wa nyika? anayejua atujuze
Na ana ubavu hatari hata ngombe maksai atakalishwa chini atake asitake kuna usemi kuwa simba ana hirizi yenye nguvu za wanaume 40. ndio maana ana mapafu ya hatari. swali kwa nini simba anaitwa mfalme wa nyika? anayejua atujuze