Tunaombeni matokeo wadau mchezo unaochezwa usiku huu kati ya wekundu wa msimbazi simba na kmkm hapo uwanja wa amani
Ni kweli unaandika habari hii hapa au makusudi tu kwamba unajua jukwaa la siasa lakini unaleta fujo ?
Tunaombeni matokeo wadau mchezo unaochezwa usiku huu kati ya wekundu wa msimbazi simba na kmkm hapo uwanja wa amani
Simba 2 Chuoni 0
Magoli yamefungwa na Singano Messi.
anamuwaza Zitto huyuwe ndo umevurugwa
naona Amis Tambwe amefulia Mapinduzi Cup aisje kuwa kama SunzuSimba 2 Chuoni 0
Magoli yamefungwa na Singano Messi.
Tunaombeni matokeo wadau mchezo unaochezwa usiku huu kati ya wekundu wa msimbazi simba na kmkm hapo uwanja wa amani
[/TD]naona Amis Tambwe amefulia Mapinduzi Cup aisje kuwa kama Sunzu
nasikia alifunga pia
Yeah, anadai goli la pili katika mechi ya jana ni lake, sio la Singanonaona Amis Tambwe amefulia Mapinduzi Cup aisje kuwa kama Sunzu
Yeah, anadai goli la pili katika mechi ya jana ni lake, sio la Singano