Niwatahadharishe kwamba,kile mnachokikimbia Dar,tayari wahuni wapo Pemba wakitafuta kuzindika uwanja wa Amaan ili msikwepe dhahama yoyote.
Wapo wameanza kutoa misaada huko Pemba.Ni bora mpambane nao hapa hapa tu.
Hawa jamaa tangu waliposikia mnataka kuhamia Zanzibar wameanza harakati za kunajisi kisiwa kwa kafara zao
Wapo wameanza kutoa misaada huko Pemba.Ni bora mpambane nao hapa hapa tu.
Hawa jamaa tangu waliposikia mnataka kuhamia Zanzibar wameanza harakati za kunajisi kisiwa kwa kafara zao