Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Uchambuzi
Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji cha Simba kinaweza kumtoa giant Al Ahly.
Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. + kushambulia kama wachezaji wa Yanga max mzengeli yao.
Pia unahitaji wachezaji kama Aziz ki ambao wanaweza kufunga mipira iliyokufa at least kupata goli pale mkitingwa.
NB: Kama utam betia kolo, basi hiyo pesa nunua sabuni pigia puli.
Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji cha Simba kinaweza kumtoa giant Al Ahly.
Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. + kushambulia kama wachezaji wa Yanga max mzengeli yao.
Pia unahitaji wachezaji kama Aziz ki ambao wanaweza kufunga mipira iliyokufa at least kupata goli pale mkitingwa.
NB: Kama utam betia kolo, basi hiyo pesa nunua sabuni pigia puli.