Acha kuanzisha nyuzi za kipuuzi.simba huwa hawafurahii yanga kufungwa?muwalaumu viongozi wenu ndoa waliotufikisha huko.kama uzalendo basi ungeanza kwa simba.mlipoanzisha slogan ya ubaya ubwela hakujua maana yake?upuuzi anaongea ahmady ally wewe unaona ni sawa?wakanye I viongozi wenu kuanzia club mpaka TFF ndo chanzo cha hayo unayoyoma.simba wafungwe tu hata Magori 10 ndo tutajuana.
View: https://x.com/Mghoshiwandima/status/1923855556218896567/video/1