VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Klabu kongwe hapa nchini ya Simba imefanikiwa kupata nafasi ya kushiriki katika Kombe la Klabu la Dunia mwishoni mwa mwaka huu baada ya kufanya vizuri katika makombe mawili iliyoshiriki:Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Washindi.Taarifa hii ni kwa mujibu wa vyanzo rasmi vya FIFA.Simba inapata ngekewa sana klabu hii....Simba oyeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!