yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Kufuatia mchakato unaoendelea wa kufanyia marekebisho katiba ya Simba,miongoni mwa mambo yanayosemekana yatafanyiwa marekebisho ni jina la klabu ya Simba sc kuwa Dar es salaam United...je wewe kama mdau wa michezo hususan Simba unaonaje na unasemaje kwa hili?