Kwani SIMBA ya ngapi katika msimamo... na mechi zimebaki ngapi ligi kwisha!!..... Nyie kandambili kama simba inafanya vibaya si ndo mnatakiwa kufurahi,, sasa maneno ya nini..!!! Tuachieni timu yetu tunajua tunapitia kwenye kipindi gani... Nyie endeleeni kununua mechi mkikutana na wanaume huko nje mnapigwa mnarudi kwenye ligi yetu ya ndondo