uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,303
- 9,486
Inaweza kuwa ni zama mpya ndani ya Simba au ni muendelezo wa sintofahamu iliyosababishwa na kipigo Cha goli 5 kutoka kwa club inayoongozwa na mwanyekiti wa vilabu vyote Afrika Hersi Said.
Simba imewaacha nguli hao wa soka la ndani na nje ya nchi huku wakikabiliwa na mechi ngumu kutoka kwa kiongozi wa kundi lao ambae ni Jwanengy Galaxy.
Simba waombewe sana nje ya hapo nawaona wakipoteana mazima.
#prayforsimba#
Simba imewaacha nguli hao wa soka la ndani na nje ya nchi huku wakikabiliwa na mechi ngumu kutoka kwa kiongozi wa kundi lao ambae ni Jwanengy Galaxy.
Simba waombewe sana nje ya hapo nawaona wakipoteana mazima.
#prayforsimba#