Simba inapodanganya Watanzania

ili wapuuzi waamini wabayoraja kuyasikia wakuvalieni kuwa simba haikucheza au waambieni haiko afrika kusini iko kijenge..
 
Labda ni unazi wa klabu unakusumbua.lakini kiufupi kuwa hyo ling waliocheza ORLANDO JMOS ni kama capital one kule uingereza na inaonekana ni ya kawaida sana inaonekana mara nyng kikos B hupewa nafasi.
JMAMOS kwa mujbu of the news kikosi A kwakuwa ni mapumzko ya mech za kmtaifa na lig muhmu hsimama wao waLIjpma na SIMBA katka mtanange wa krafk tu kukiweka xawa kikosi KAMA MAZOEZI
 

NAWASLISHA MAJBU
simba ilicheza na orlando pirates ijumaa kikosi cha kwanza kilitumika mechi ilichezwa katika dimba la rand stadium johansberg.
 
Ukikosa cha kufanya unapost ujinga tu, Azam alicheza mechi 2 siku moja huko Kagame hapa na Mtibwa sembuse Orlando!?
Nona mapovu yanawatoka kwa kuambiwa ukweli.....we unadhani Orlando ni wababaishaji kama sisi....nitafutie mechi report ya Orlando na Simba then urudu humu.
 

7. Wamecheza lakini kwa namna kama ya yule mjumbe aliyepiga kura akitokea ulimwengu mwingine...yaani si kimwili zaidi.
 

Sasa ndugu hebu tuelekeze wewe matokeo umeyapata wapi maana wakati ule ulinukuu taarifa ya mipango kwamba wanatarajia kucheza. Tunaomba utuonyeshe ambapo wewe umeyapata hayo matokeo na sisi wapenzi wa timu tujiridhishe ili watani hawa wasiendelee kutupiga vijembe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…