Ni wa kukupuuza tu!Yaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.
Kamuulize aliyesema hayo maneno looser..HAJI MUZUNGU.Yaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.
Hiv nyie mmesajili wachezaji wazuri co????hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaWaliambiwa wasajili wachezaji wazuri waka puuza, ona wanavyo ji dhalilisha na kui dhalilisha Nchi kwa mambo ya hovyo ya kishirikina!!
Nguvu wanayo itumia sasa kwenye ushirikina wangeitumia kwenye usajili wasingekua wanahangaika sasaivi.
Simba is the looser of the loosersYaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.
Sikuhizi maluza huenda nyumbani hawaendi huko tuli waita yanga hivyo kwakua walikua wanatoka kwawakubwa kujahukuYaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.
😂😂😂Walivyokuwa wanaliponda ila wanalihangaikia hadi sio poahYaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.