Simba imetia aibu

mtu wa system

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2025
Posts
376
Reaction score
588
Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
 
Soka na Siasa haviambatani, tukipigwa ban tutaanza kuwasifia Viongozi wa simba
 
Ngoja tumalizane kwanza na Tajiri wetu haiwezekan kila msimu mpya anaanza madeni
 
Soka na Siasa haviambatani, tukipigwa ban tutaanza kuwasifia Viongozi wa simba
Mna uelewa mdogo sana.Charity contribution inaweza vipi kusababisha ban? Serikali ya hao hao ccm kila siku inatoa pesa ,inajenga viwanja nk.mbona hawakatazwi?
 
Simba sio club ya misukule wale vibwengo kama ninyi
 
Kwani Mama aliwapa kama Rais ama Mwenyekiti wa CCM?!
 
Rudi kasome comment yangu.Mipasho si jadi yangu na sijadili mambo binafsi
 
Rudi kasome comment yangu.Mipasho si jadi yangu na sijadili mambo binafsi
 
mnatafuta justification "kuwa mlichofanya ni bora pia chakuigwa"

PROPAGANDAZ FC🤣
 
Huna akili. What a wasted sperm.
 
Fifa inakataza,serikali na taasisi zake kuingilia maamuzi na matokeo uwanjani,kuingilia uongozi wa mpira na management ya makocha na wachezaji.
 
Nyie uto kubalini mmebugi kuweka nembo ya club kwny hizo hela....acheni justfication...hata kama ametoa mtu mfukoni haikupaswa kuwekwa nembo ya club
 
Yanga au Simba, kuna timu ya wananchi na timu ya CCM.
Simba au Yanga, kuna timu 96% ya wapenzi au mashabiki wake ni makada wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…