ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi
Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.
Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?
Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki
Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.
Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?
Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki
Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.