Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,128
- 2,356
Kocha hafai huyuHivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwann uendelee kubaki nae wakat msimu haujaanza bro? Hiv kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?
Hiv kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?
Robertinho usije ukasema mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza