Simba hawapaswi kushangilia pesa za Sammata zaidi ya African Lyon

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
892
1,226
Sheria za FIFA zinaainisha mchezaji akihama kutoka timu moja kwenda nyingine kila timu aliyocheza itapata mgao wao kutoka kwenye pesa za usajili.

Kama tunavyojua Samatta kabla ya kwenda Simba alikipiga African Lyon. Ila kwenye kila tranfer ya huyu bwana from Simba to Mazembe na kutoka Mazembe kwenda Genk simba ndio wamekua kiherehere kupata mgao huku African lyon wakikosa hata mia.

Nasemaje simba ni waroho..haters watasema mimi shabiki wa yanga.

Screenshot_20200118-083050_Chrome.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha dah mkuu hebu naomba niwekee hapa kifungu hicho cha sheria kinachotaka kila mchezaji akihama team zote alizochezea zipewe mgawo. Au nipe hata link mahali hiyo sheria ilipo nikaongeze maarifa ya soka.

Nachoweza kukuambia ukileta hicho kifungu cha sheria hapa basi leo leo naacha kushabikia soka. Dah mda mwingine chuki inafanya akili za watu zinakuwa full of shonde
 
Mzew mchezaji akiuzwa pesa inagaiwa mpaka academy aliyotoka nadhani hulijui hilo.
Hahaha dah mkuu hebu naomba niwekee hapa kifungu hicho cha sheria kinachotaka kila mchezaji akihama team zote alizochezea zipewe mgawo. Au nipe hata link mahali hiyo sheria ilipo nikaongeze maarifa ya soka.

Nachoweza kukuambia ukileta hicho kifungu cha sheria hapa basi leo leo naacha kushabikia soka. Dah mda mwingine chuki inafanya akili za watu zinakuwa full of shonde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzew mchezaji akiuzwa pesa inagaiwa mpaka academy aliyotoka nadhani hulijui hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiweka inatakiwa hapo unakosea unafanya iwe ndio sheria rasmi ni kama vile chai na chapati 2

Kinacho matter ni mkataba baina ya timu yake na hiyo nyingine inayouuza! Kama walikubaliana tupe kiasi kadhaa nyie huko muuze mnavyojua sie hiyo haihusiki! Hakuna pesa itakayokwenda huko!
 
Hahaha dah mkuu hebu naomba niwekee hapa kifungu hicho cha sheria kinachotaka kila mchezaji akihama team zote alizochezea zipewe mgawo. Au nipe hata link mahali hiyo sheria ilipo nikaongeze maarifa ya soka.

Nachoweza kukuambia ukileta hicho kifungu cha sheria hapa basi leo leo naacha kushabikia soka. Dah mda mwingine chuki inafanya akili za watu zinakuwa full of shonde
Mzee hicho kifungu kipo ila timu zinazolipwa ni zile alizochezea kabla hajafikisha miaka 24, maanayake mwisho miaka 23, pia simba wana kifungu chao kingine walikiweka kwenye mkataba pia kitawapa mtonyo
 
Kama umesoma bandiko la mleta mada basi hujaelewa alichoandika mkuu. Soma tena. Kisha fikiria hili neno ukishamaliza kusoma 'exception'.
Sielewi tunaposhindwa kuelewana mimi na wewe ni wapi? Mtoa mada anataka simba wasipewe hela kwakuwa walishapata mgao mwanzo na anataka African lyon ndio wapewe kwakuwa hawakupata mwanzo anasahau hizo pesa zipo kisheria na kama hawakupata mwanzo ni uzembe wao simba hausiki kwenye uzembe wao, pili nilikushangaa wewe uliposema ukiletewa hicho kifungu kinachosema kuwa timu alizopitia mchezaji kabla hajafikisha miaka 24 wanapaswa kulipwa 5% ya ada ya uhamisho unaacha kushabikia soka
 
Sielewi tunaposhindwa kuelewana mimi na wewe ni wapi? Mtoa mada anataka simba wasipewe hela kwakuwa walishapata mgao mwanzo na anataka African lyon ndio wapewe kwakuwa hawakupata mwanzo anasahau hizo pesa zipo kisheria na kama hawakupata mwanzo ni uzembe wao simba hausiki kwenye uzembe wao, pili nilikushangaa wewe uliposema ukiletewa hicho kifungu kinachosema kuwa timu alizopitia mchezaji kabla hajafikisha miaka 24 wanapaswa kulipwa 5% ya ada ya uhamisho unaacha kushabikia soka
Je mleta mada ameweka exception ya umri? Nilikupa clue hukujiongeza. Anyways tufunge mjadala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom