Simba SC na ndoto za ubingwa wa Afrika

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,185
3,805
Mpira ni investment na Nidham.

Timu yangu ya Yanga inatakiwa kuliona hili at a distant. Only investment can make a difference.

Kwa investment ndogo tu waliyoifanya Simba SC, ninaitabiria simba kufika mbali, only the sky is a limit.

Ushauri wangu kwa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi; nakubali kwamba mpira ni biashara, lakini kwa kiwango cha Simba , bado haijafikia hadhi ya kufanya biashara.

Kufikiria kumuuza mtu kama Jose Luis,au Bwalya au Chama , ni kuanza moja katika mpira.

Kampuni yoyote bora ni lazima iwe na sera ya maintainability kwa wafanyakazi wake . Vinginevyo utakuwa unakimbiza Skills zote kama ilivyotokea kwa As Vita. Imekuwa ni timu dhaifu na kwasasa kazi kubwa ni kuanza kuijenga timu upya.

Usishangae leo Simba inafanya vyema, the next season inatolewa kwenye preliminary stage; hii ni kwasababu bado timu haijawa na peak and sustainability.

Peak itapatikana kwa ku maintain wachezaji na kuongeza wengine wazuri.

Simba bado ni chipukizi, and for the first time ndio inaanza kuingia hamasa ya kutafuta nyota moja kwenye klabu bingwa Afrika ; ikikosa mwaka huu basi mwakani ipate, hapa hakuna uchawi wala blah blah ni Investment tu, maintainability ya wachezaji wazuri na nyongeza ya wachezaji bora zaidi.

hivyo Simba iache tamaa mapema sana ya kufikiria kuuza nyota wake eti mtu akifika dau.

Simba ijiwekee kwanza uhakika wa kuingia robo au nusu fainali miaka 2 au 3 mfululizo ndio tuseme Simba sasa ipo kwenye peak na inaweza fanya biashara.

Klabu za As Vita na TP Mazembe zinaonekana wanahela ni kwa sababu kila mwaka kucheza makundi au robo fainali ni kawaida kwao.

Kuhusu usajili, Simba ikamtoe yule Juma Shaban wa As Vita.

IMG_4779.jpg

Mpira ni Money tuache blah blah kwenda kununua kina Chikwende ambao wanachukuwa muda mrefu kuonesha uwezo.

Hata Samatta, alitolewa haraka Aston Villa baada tu ya kugundua kuwa alikuwa overrated na anachukuwa muda sana kuonesha uwezo. Hakuna muda wa kusubiri kuonesha uwezo wakati watu wameweka fedha zao. Game 3 tu unatakiwa uwe tayari umeshaonesha uwezo wako and what you can offer to the club. Hii mambo ya mpeni muda jamani , ni akili za kimaskini. For that reason, wazungu wakamtimua sammata, Na nyie Simba toeni hiyo Chikwenda au uzia Azam akapate muda huko wa kujiweka sawa.

Simba now ni Klabu kubwa, Players lazima wawe na uwezo binafsi na wakipekee.

Luis alionesha uwezo ndani ya mwezi mmoja tu , akaonekana huyu Mtu ni hatari.

Also, Simba inatakiwa iwe na forward mwenye akili nyingi, sio kina mugalu, open chance nne, no goal , halafu utetezi oooh huyu ni mzuri , anajua kukaa na mpira. Useless, forward mzuri ni yule mwenye uwezo wa kuleta matokea katika angle yoyote ile ya pitch , muda wowote and unexpectedly.

Lengo kubwa la mpira ni magoli na sio kuhold mpira au vinginevyo, only the scores make a difference, hayo mengine ya kuhold mpira ni weak argument na akili za kimasikini.

Atafutwe Mshambuliaji wa kisasa mwenye kasi ya kisasa, na hapa tusiwe wabihili kwenda kuokota makapi Brazil, wapo forward za ukweli Africa, fedha yako kwako Mo.

Mchezaji mwingine Simba imfikirie anaitwa Kikasa kutoka As Vita, hawa ni wachezaji ghali but they can make a difference any time .

Mwisho, Simba iangalie uwezokano wa ku maintain wachezaji wake , Na kuongeza hizi mtu mbili kwenye kikosi ili next season icheze Final kabisa.

IMG_4780.jpg
 
Yule Djuma wa Vita yuko vizuri ila by now atafutwe central striker mwenye combination ya Kagere na Mugalu na awe ana uwezo wa kupiga chenga huku analiface goli
 
Nakubaliana na wewe iendelee kubaki na nyota wake, lakini je ikitokea timu ikamuwekea Luis dau la mshahara milioni 70 kwa mwezi, je simba inao uwezo huo kwa sasa kumlipa hizo 70, kifupi hakuna mkataba wa kazi ambao hauna kipengele cha kuvunjwa. Nakubaliana na wewe ushauri uliotoa wa usajili wa Djuma na Kikasa, Simba inatakiwa kuwatoa Mugalu, Kagere, Wawa na Kahata, lakini Chikwende abaki. Simba kama inaweza kuvunja mikataba ya Mukoko na Dube basi iwachukue kuimarisha timu. Muduwa sijui kiwango chake hivyo siwezi kushauri abaki au aondoke.
 
Nakubaliana na wewe iendelee kubaki na nyota wake, lakini je ikitokea timu ikamuwekea Luis dau la mshahara milioni 70 kwa mwezi, je simba inao uwezo huo kwa sasa kumlipa hizo 70, kifupi hakuna mkataba wa kazi ambao hauna kipengele cha kuvunjwa. Nakubaliana na wewe ushauri uliotoa wa usajili wa Djuma na Kikasa, Simba inatakiwa kuwatoa Mugalu, Kagere, Wawa na Kahata, lakini Chikwende abaki. Simba kama inaweza kuvunja mikataba ya Mukoko na Dube basi iwachukue kuimarisha timu. Muduwa sijui kiwango chake hivyo siwezi kushauri abaki au aondoke.

Kabisa naona it make sense. Kwa mpunga huo , Sidhani kama Simba itaweza ku maintain.

Why unadhani Chikwende ni muhimu kuendelea kubaki? Yule Mukoko yupo vyema sana , natamani sana siku moja awe mwekundu.

Cha msingi usajili ujao Mo afanye mambo , Na baadhi ya wachezaji kwa kweli wahamishiwe Azam tu ; yaani mtu kama Kagere Kahata etc etc hawawezi kuwa na maajabu tena ....... no way
 
Kabisa naona it make sense. Kwa mpunga huo , Sidhani kama Simba itaweza ku maintain.

Why unadhani Chikwende ni muhimu kuendelea kubaki? Yule Mukoko yupo vyema sana , natamani sana siku moja awe mwekundu.

Cha msingi usajili ujao Mo afanye mambo , Na baadhi ya wachezaji kwa kweli wahamishiwe Azam tu ; yaani mtu kama Kagere Kahata etc etc hawawezi kuwa na maajabu tena ....... no way
Yaani unatamani siku moja kumuona Mukoko akiwa Mwekundu lakini timu yako ni Yanga?
 
Kabisa naona it make sense. Kwa mpunga huo , Sidhani kama Simba itaweza ku maintain.

Why unadhani Chikwende ni muhimu kuendelea kubaki? Yule Mukoko yupo vyema sana , natamani sana siku moja awe mwekundu.

Cha msingi usajili ujao Mo afanye mambo , Na baadhi ya wachezaji kwa kweli wahamishiwe Azam tu ; yaani mtu kama Kagere Kahata etc etc hawawezi kuwa na maajabu tena ....... no way
Nilimwona Chikwende akichezea timu ya Taifa ya Zimbabwe mwezi uliopita, kwa kweli alikuwa nyota na ndiye aliyefunga bao. Chikwende akianza kucheza international matches ataongeza ushindani pale mbele.
 
Huyo Mukoko aende tu Msimbazi.

Hata Ajib na Gadiel wakirejea Yanga watakuwa na msaada sana kwenye michezo ya Club bingwa Afrika.
 
Kabisa naona it make sense. Kwa mpunga huo , Sidhani kama Simba itaweza ku maintain.

Why unadhani Chikwende ni muhimu kuendelea kubaki? Yule Mukoko yupo vyema sana , natamani sana siku moja awe mwekundu.

Cha msingi usajili ujao Mo afanye mambo , Na baadhi ya wachezaji kwa kweli wahamishiwe Azam tu ; yaani mtu kama Kagere Kahata etc etc hawawezi kuwa na maajabu tena ....... no way
Chikwende kuna kitu anacho yule. Ni mchezaji mzuri sana atatusaidia.

Naona wewe umemjaji in less than six games. Hii sio sawa.
 
Amecheza game ngapi Mkuu ?!
Sina kumbukumbu sahihi sana, ila nadhani haziwezi kuzidi sita.
Mbili za Simba Super Cup.
Moja ya FA.
Na tatu za ligi.

By the way pointi yangu ni kwamba umetumia mechi chache sana kuamua kwamba Chikwende hatufai.

NB: Naweza kuwa si sahihi katika idadi halisi ya mechi ambazo amecheza, ila kwa idadi yoyote ile iwayo, Chekwende bado hajaonesha kufeli.
 
Funzo kwa timu zisizo na menejimenti za kisasa. Wazee wazee pigeni chini. Mpira ni pesa,Mpira ni biashara.
 
Sina kumbukumbu sahihi sana, ila nadhani haziwezi kuzidi sita.
Mbili za Simba Super Cup.
Moja ya FA.
Na tatu za ligi.

By the way pointi yangu ni kwamba umetumia mechi chache sana kuamua kwamba Chikwende hatufai.

NB: Naweza kuwa si sahihi katika idadi halisi ya mechi ambazo amecheza, ila kwa idadi yoyote ile iwayo, Chekwende bado hajaonesha kufeli.

Sawa ngoja tuone Mkuu . Nahisi amechukua Muda sana ku cope
 
Funzo kwa timu zisizo na menejimenti za kisasa. Wazee wazee pigeni chini. Mpira ni pesa,Mpira ni biashara.

Kabisa kaka. Mambo leo sijui kwenda mahakaman, sijui kesi na TFF , sijui kugombania mchezaji ni upuuzi mkubwa Na ukosefu wa kazi za Kufanya. Weka hela fanya kazi . Mpira ni kazi kama kazi nyingine tena mpira unalipa sana

Manula Tu anakula si chini ya 9M, kuna mtumishi gani anapata hiyo hela. Yanga tuache mambo ya kipumbavu tufanye kazi
 
Kabisa kaka. Mambo leo sijui kwenda mahakaman, sijui kesi na TFF , sijui kugombania mchezaji ni upuuzi mkubwa Na ukosefu wa kazi za Kufanya. Weka hela fanya kazi . Mpira ni kazi kama kazi nyingine tena mpira unalipa sana

Manula Tu anakula si chini ya 9M, kuna mtumishi gani anapata hiyo hela. Yanga tuache mambo ya kipumbavu tufanye kazi
Yanga nasikia mnasoma albadiri karne hii ya Sayansi na teknolojia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom