Jioni hii kwenye Michezo na Times Fm nimejulishwa kauli ya Wekundu wa msmbz juu ya pesa za M. Twite, kwaujumla zimethibitisha nilichokuwa nakifikiria juu ya Watani wa jadi, Yng SC. Hapa nawapongeza Simba kukataa kuzipokea pesa zilizorudishwa na Viongozi wa APR & Lupopo FC ambao wamekubali kutumiwa kijinga na watu wasiopenda maendeleo ya soka la bongo kwani:
- Viongozi hawa Wamethibitisha kuwa Twite alipokea pesa halali ya usajili toka msimbazi
- Wakati anapokea akiwa na akili timamu hakuwepo TFF wala CECAFA
- Sehemu pekee ya kuirudisha pesa ni msimbazi tena si kupitia watu bali ni yeye Twite akijenga hoja kwa wanasimba kwanini sasa anarudisha pesa.
- Yanga hawana mamlaka ya kusema kuwa walikuwa na mchakato tangu mapema wa Twite kwani yeye mwenyewe alipokea na kukubali kuichezea simba. Nawauliza yanga hivi wachezaji wazuri kwenu wapo simba tuu, ama nyie ni vip*fu kmkitegemea kuongozwa na Mnyama?