Simba dume ila nimekua mnyonge

Simba dume ila nimekua mnyonge

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
693
Reaction score
876
Kuna binti tulifahamiana nilipokutanishwa na mzee wake tukaanza mawasiliano ya hapa na pale tukawa wapenzi,kwakuwa tupo maeneo tofauti kuonana kwetu imekua nadra sana tumekua tukijuliana hali kwanjia ya simu na ujumbe mfupi.

Tatizo lililonileta hapa wanajf huyu binti tukipanga kuonana amekua akipgiga chenga,jana nimesafiri toka Dom to mwanza ili tubadilishane mawili matatu uwezi amini nimempigia simu hajapokea mpaka muda huu.

Ikumbukwe pia aliwahi fanya tukio kama hili mwaka jana akajitetea majukumu nikaona siombaya uenda nikweli.

Nipeni msaada wa kimawazo wakuu,kesho nategemea kurudi nilipotoka
 
Duh pole mkuu siku hizi mabinti awapendi maneno wanataka fedha tu,rudi kaendelee kuzisaka.
 
Kuwa mkweli.

Hapo pa kubadilishana mawili matatu.... ulitaka umuombe nini labda na yeye hayupo tayari?
 
Duh pole mkuu siku hizi mabinti awapendi maneno wanataka fedha tu,rudi kaendelee kuzisaka.
Sio kweli.

Kama wamekutanishwa na mzee its clear kuna kusudio la kuwa pamoja in future ninavyodhani mimi.

So binti hataki kuchezewa ni wazo moja, ama hamtaki jamaa in 'that' essence.
 
Fuata moyo wako mkuu mambo mengine sio ya kufuata ushauri wa watu sababu hakuna anaejua jinsi unavyojisikia moyoni mwako.
 
Huyo Dem anajielewa hataki umtafune, so km ni mtu wa kugonga achana nae lkn km ulikuwa na mipango ya kifyucha hilo jiko usiliache.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom