SIMBA CARGO

SIMBA CARGO

ikhlas

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
1,097
Reaction score
1,432
Wadau napenda kuwapeni mchongo huu kuhusu kampuni ya Simba Cargo ,kampuni yetu inasafirisha mizigo midogo na mikubwa na Full contena kutoka China na Dubai kwa garama sawa na bure. Pia kampuni ya Simba Cargo inawasaidia wateja wake kuweza kutuma pesa kwa urahisi China na Dubai kwa rate ndogo na pesa hutumwa kwa usalama mkubwa sana.Endapo mzigo wa mteja utapotea kabla haujamfikia basi atalipwa garama zake zote.Karibu Simba Cargo wataalamu wa usafirishaji. Tunapatikana Swahili na Narungombe ,Kariakoo.
 
Jazia nyama tangazo lako, mbona umeenda spidi sana? Kwani unafukuzwa. Fafanua vizuri, toa maelezo ya kutosha

Hili ni jambo jema sana kwani kampuni zilizopo nyingi sio waaminifu so jitangaze vyema tielewe tuje kufanya kazi pamoja
 
Simba cargo ni company kubwa ila unaitangAza kiunyonge sanaa
 
Wadau napenda kuwapeni mchongo huu kuhusu kampuni ya Simba Cargo ,kampuni yetu inasafirisha mizigo midogo na mikubwa na Full contena kutoka China na Dubai kwa garama sawa na bure. Pia kampuni ya Simba Cargo inawasaidia wateja wake kuweza kutuma pesa kwa urahisi China na Dubai kwa rate ndogo na pesa hutumwa kwa usalama mkubwa sana.Endapo mzigo wa mteja utapotea kabla haujamfikia basi atalipwa garama zake zote.Karibu Simba Cargo wataalamu wa usafirishaji. Tunapatikana Swahili na Narungombe ,Kariakoo.
Mzigo kama TV labda inch 75 mnasafirisha na ku clear Kwa bei gani?

Au CBM moja ni kias gani kusafirisha na ku clear??
 
Ok mzigo mnasafirisha kwa siku ngp kutoka china baada ya malipo au maridhiano ya mteja na supplier wake ?

Meli ikifika anchor rage inakaa muda gani kuingia bandarini? Hasa pale ndo mnapotuweka,

Mnachaji vipi contena lenye ft 20 ? Ni mnachaji kontena zima ama kila ujazo wa bidhaa ndani ya contena ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom