Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 176
- Thread starter
- #21
Subiri dakika tisini ndizo zenye maelezo kamili mkuu, lazima mkaeKabla ya kupost jitafakari kama akili zimekaa sawa.... kitimu yanga wako vizuri mno.. wana wachezaji wa level za juu... Tukiweka ushabiki pembeni hii game ni ngumu kwetu sema tunajipa moyo tu.. Tuombe tena game hii NGOMA asicheze maana yule ni mchezaji na ni ukweli hatuwezi kumfananisha na LAUDIT MAVUGO...