Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,608
- 24,195
Mtanipa matokea, siangalii tena game imeshapoteza Mvuto, refa tayari ana matokeo yake nani ashinde.. ila hatufiki popote wanasimba wenzangu, penati ya 9 hii kwenye mechi 14 za ligi
kwani ukisema wewe Yanga utapungukiwa nini, una haja ya kuikana team yako