JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Zaidi ya miaka 20, Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, haikuwa na Hospitali ya Wilaya.
Hii iliwapa shida wananchi na kuiomba Serikali kupunguza makali ya maisha yao kwa kuwasogezea Huduma hiyo karibu
Huduma ya afya mbali na kutolewa kwenye vituo vya Afya na Zahanati, wananchi hao wanalazimika kwenda Kilimanjaro na Arusha kusaka huduma hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mhandisi Zephania Chaula alisema, Serikali iliwapa bill 1.5 kwaajili ya ujenzi wa hospitali hiyo ambao unaendelea
Alisema hatua ya ujenzi iliyofikiwa ni njema kwani ifikapo tar 30 June 2019 hospitali hiyo itakuwa imekamilika..
Hii iliwapa shida wananchi na kuiomba Serikali kupunguza makali ya maisha yao kwa kuwasogezea Huduma hiyo karibu
Huduma ya afya mbali na kutolewa kwenye vituo vya Afya na Zahanati, wananchi hao wanalazimika kwenda Kilimanjaro na Arusha kusaka huduma hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mhandisi Zephania Chaula alisema, Serikali iliwapa bill 1.5 kwaajili ya ujenzi wa hospitali hiyo ambao unaendelea
Alisema hatua ya ujenzi iliyofikiwa ni njema kwani ifikapo tar 30 June 2019 hospitali hiyo itakuwa imekamilika..