Simama imara ni mapito tu, usijichanganye

Ameeeen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi uliandika january na huu zimegusa maisha yangu na kuniokoa na majanga yaliyokuwa yametegwa dhidi yangu na adui ambaye simtambui ni nani,baadhi ya ndugu walinidharau sana lakin walibaki midomo wazi pale Mungu alivyoamua kuniinua kwa kasi ya ajabu.,Kwa upande mwingine JF imekuwa rafiki kwangu,kila siku nasema Asante Mungu nashukuru kwa yote.
 
barikiwa zaidi

Jr
 
Haya mambo ya kushare biashara na rafiki sio mazuri kabisa,mimi niliona kwa mama yangu mdogo alishare na rafiki yake ambaye alikuwa hajui iyo biashara lakin alikuwa na 70% ya kama mtaji na 30% mama mdogo kwa makubaliano biashara ikikua wafungue nyingine kila mtu awe kivyake lakin baada ya rafiki yake kujua biashara kidogo tuu akamwambia mama mdogo tuachane nakurudishia mtaji wako,yani nilimuona mama mdogo analia na kusema hajui anaanzia wapi pesa ilikuwa ndogo lakin aliamua kumwachia Mungu kwa moyo wa dhati kabisa na mambo yalimnyookea na yule rafiki yake biashara ilimshinda akapoteza mtaji ikabidi afunge..


Nyingine ni last year binamu yake binamu yangu alifariki ghafla na kuacha mke na watoto kisa ni walishare biashara na rafiki yake Mpemba baada ya biashara kwenda vizuri kadhulumiwa ikabidi aende mahakamani akaambiwa auze nyumba ya uyo mpemba ilikuwa haijaisha bado ili arudishe pesa yake ,mteja alivyopatikana kabla hajalipia uyo binamu akafa ghafla
 
Mmh...


Jr
 
Mshana jr we ni mganga wa kienyeji au mtumishi wa Mungu nashindwa kukuelewa
 
Mkuu
Naomba uweke icho kisa hapa na mm nfaidike maana ni mhanga wa hilo jambo pia natanguliza shukurani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…