Simama imara ni mapito tu, usijichanganye

Right message at the right time!!mshanajr barikiwa Kwa hili,kuna wakati MTU unaweza dhani kuwa dunia yote iko mgongoni mwako, ujumbe kama huu unatukumbusha mengi na kutufundisha!be blessed bro
 

Pouwa Kaka nishakupm
 
Last edited by a moderator:
Ni kwasababu ubaya ni roho ya giza na Mungu ni nuru... Ukiwa mtenda mabaya hata uso huonekana wazi, kuna gaze fulani ya kutisha lakini ukiwa mtu mwema hata uso hupata nuru na mwili kuwa na afya
Sasa mshana jr mtu anakudhulumu haki yako na anajua kabisa anachokifanya sio sahihi halafu ndio hicho unacho kitegemea,halafu unaambiwa samehe saba mara sabini!!!!!!!

Basi tu inabidi kusamehe
 

Aiseeee!!!!!! milioni nne tu inataka kunifanya nimtoe mtu roho ingekuwa kama wewe si ningekuwa nimesha chizika?

Ila kweli msamehe Mungu atakupatia zaidi ya alichokudhulumu
 
Kwa fedha za kodi zetu,wananunua Viongozi wetu waandamizi,wamewanunua wasanii wa muziki na maigizo,wamenunua vyombo vya habari kutangaza Live upuuzi na unafiki,wametafuna kodi zetu,wameuza wanyama wetu,wameuza migodi yetu,wamegawana nyumba zetu,wamemaliza twiga na tembo wetu,wamemaliza makaa yetu ya mawe,wamebinafsisha viwanda vyetu,wamehujumu madawa yetu,wamefilisi halmashauri zetu,wamewahujumu wataalamu wetu,wamewaharibu watoto wetu,wamewazeesha wazazi wetu,daaah!!Tumechooookaaaaa!!CCM sasa baaaasiiiiiiii!Namchagua Lowassa!!
 
Sasa mshana jr mtu anakudhulumu haki yako na anajua kabisa anachokifanya sio sahihi halafu ndio hicho unacho kitegemea,halafu unaambiwa samehe saba mara sabini!!!!!!!

Basi tu inabidi kusamehe

Somo la kusamehe kwa vitendo ni gumu sana lakini ukifaulu lina impact kubwa
 
Sasa mshana jr mtu anakudhulumu haki yako na anajua kabisa anachokifanya sio sahihi halafu ndio hicho unacho kitegemea,halafu unaambiwa samehe saba mara sabini!!!!!!!

Basi tu inabidi kusamehe

Ndg yangu hili Somo lakusamehe hata huko makanisani Linahubiriwa kwa msisitizo sana kwa sababu kwaakili zakibinadamu ni Ngumu lazima MUNGU ahusike zaidi...usiposamehe mtaishia kuuana...Hasira zikiisha unajikuta sehemu sio utajisikiaje....!!,
 
Ndg yangu hili Somo lakusamehe hata huko makanisani Linahubiriwa kwa msisitizo sana kwa sababu kwaakili zakibinadamu ni Ngumu lazima MUNGU ahusike zaidi...usiposamehe mtaishia kuuana...Hasira zikiisha unajikuta sehemu sio utajisikiaje....!!,


Kwa kweli bila Mungu kuingilia kati na mawazo toka kwa watu hii kitu ni ngumu sana
 
Kwa kweli bila Mungu kuingilia kati na mawazo toka kwa watu hii kitu ni ngumu sana

Lakini pia ni lazima mtendwa akubali kumwachia Mungu kwa dhati ya moyo wake kwakuwa hakuna kitu kibaya kama roho ya kisasi hasa pale shetani anaposimamia ukucha
 
Lakini pia ni lazima mtendwa akubali kumwachia Mungu kwa dhati ya moyo wake kwakuwa hakuna kitu kibaya kama roho ya kisasi hasa pale shetani anaposimamia ukucha


Moyo kukubali kuachana na roho ya kisasi nikikumbuka kweli nahisi nanyimwa haki

Ee Mungu simamia suala hili maana ni ngumu sana kila ninapokumbuka
 
Moyo kukubali kuachana na roho ya kisasi nikikumbuka kweli nahisi nanyimwa haki

Ee Mungu simamia suala hili maana ni ngumu sana kila ninapokumbuka

Kwa akili na uwezo wa kawaida wa kibinadamu ni ngumu ila unapomshirikisha Mungu miujiza hutokea
 
Mshana Jr Umeshawahi Kupitia Magumu? Na Kama Ndio Huwa Unakabiliana Vipi Na Mapito Hayo...Nipo Kwenye Kipindi Cha Mpito Huu Mwaka Wa 3 Sasa Aisee Acha Tuuu..Imani Ni Kitu Kigumu Sana Yataka Moyo Kusimama Na Imani Yako Hadi Mwisho Wa Safari Ila Nitashinda Naamini
 
Mshana Jr Majibu Tafadhali
 
Mshana Jr Majibu Tafadhali

Jr
 
Mshana Jr Majibu Tafadhali

Jr
 

Hali ninayopitia sahivi huu uzi unanifariji asee, maisha yana changamoto sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…