Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nimekuja kuandika hili baada ya Maoni ya mbunge Mmoja kutoa mapendekezo ya kodi ya kizalendo kwenye Simcard.
Kuna pendekezo la Simcard Tax nilituma serikalini tarehe 31/12/2020.
Nilidadafua vizuri sana kwa kuangalia pembe zote za watu wakipato cha chini cha kati na cha juu.
Nawasilisha
Nimekuja kuandika hili baada ya Maoni ya mbunge Mmoja kutoa mapendekezo ya kodi ya kizalendo kwenye Simcard.
Kuna pendekezo la Simcard Tax nilituma serikalini tarehe 31/12/2020.
Nilidadafua vizuri sana kwa kuangalia pembe zote za watu wakipato cha chini cha kati na cha juu.
Nawasilisha