Watu wanajenga shule,wanatengeneza mtandao wa barabara,wanaweka mtandao wa maji mji au mkoa mzima ye anahangaika na ka kisima kamoja hadi amalize jimbo zima leo
Hapa nakubali ni mahali sahihi kwa wasanii kwani it seems ni jengo la wasaniiii (ndiyo kwao) vipi wenje na ahadi za kulipa ada? sugu na kuukana uraia wa tanzania na hatimae kuchukua uraia wa burundi? sugu na vitanda vya meta hosptal na rufaa hilo limeishia wapi? na ubogas wa madiwani wetu jijini mbeya hivi unawatenga madiwani wa cdm au nao ni inclusive?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.