Yaani mbunge mzima anahoji habari aliyosoma kwenye mitandao na magazeti? Hivi ina maana hakwenda na hoja za wananchi wake toka jimboni mwake waliomtuma bungeni? Kuna wabunge si wawakilishi wa watu waliowapigia kura.Shilinde ni mmoja wao kaamua kuwa mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti.
Naomba Shilinde akinyoosha mkono kutaka kuongea spika awe anamwambia haya sasa ni zamu ya mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti ongea!
Huyu Membe amejikanyaga na hata mtoto mdogo angedharau maneno yake.Eti wanatuonea wivu?Nani aionee wivu Tanzania?
tanzania ni zaid ya the comendy....Bunge letu ni zaidi ya futui
Yaani mbunge mzima anahoji habari aliyosoma kwenye mitandao na magazeti? Hivi ina maana hakwenda na hoja za wananchi wake toka jimboni mwake waliomtuma bungeni? Kuna wabunge si wawakilishi wa watu waliowapigia kura.Shilinde ni mmoja wao kaamua kuwa mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti.
Naomba Shilinde akinyoosha mkono kutaka kuongea spika awe anamwambia haya sasa ni zamu ya mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti ongea!
Wajinga Sana Inakurupuka kama Mizuzu "SIASA ZA MATUKIO " tu
WAMEUMBUKA KAmanda Membe Camillius Bernard Amewashushua.
Huyu ndo anataka kuwa raisi! Mimi natafuta uraia wa somalia.
Hii nchi hakuna kiongozi. Bunge limekuwa kama lango la jiji, taarab. Du!
Wajinga Sana Inakurupuka kama Mizuzu "SIASA ZA MATUKIO " tu
WAMEUMBUKA KAmanda Membe Camillius Bernard Amewashushua.
Hata raia wake ni comedian,ukawa ni comedians,CCM ni Comedians...! Hatujadili habari za maendeleo tunajadili siasa mbovu mbovu!
Yaani mbunge mzima anahoji habari aliyosoma kwenye mitandao na magazeti? Hivi ina maana hakwenda na hoja za wananchi wake toka jimboni mwake waliomtuma bungeni? Kuna wabunge si wawakilishi wa watu waliowapigia kura.Shilinde ni mmoja wao kaamua kuwa mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti.
Naomba Shilinde akinyoosha mkono kutaka kuongea spika awe anamwambia haya sasa ni zamu ya mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti ongea!
Hana akili,mbunge unategemea kutafuta cha kuongea bungeni kwenye online forum?
Wajinga Sana Inakurupuka kama Mizuzu "SIASA ZA MATUKIO " tu
WAMEUMBUKA KAmanda Membe Camillius Bernard Amewashushua.
Ulikuwa hujui mkuu hili jamaa ni jinga sana we lifatilie michango yake utalibaini ni jitu la aina gani.kumbe nawe ni walewale misukule ya Lumumba.
Na wewe mchaga gani ambaye hauna dira na wala utafakari
Kuuliza habari za magazeti bungeni kuna ubaya gani?
Hususan kama magazeti yaliyoandika habari hii ni ya dunia nzima, kuanzia The New York Times, Washington Post, The Times mpaka TV za BBC na Al-Jazeera?
Unajua kwamba habari haijaanzia kwenye magazeti, na kwamba magazeti yameiandika tu?
Umefuatilia habari hii au umekurupuka?
Unajua kwamba habari hata kama ni ya uzushi, ikishapata kurudiwa sana inapata nafasi ya kuiharibia nchi sifa, na mbunge ana wajibu wa kupata tamko rasmi la serikali litakalorekodiwa kwenye rekodi ya Hansard?
Unajua hata rekodi ya Hansard ni nini na umuhimu wake ukoje?
Yaani mbunge mzima anahoji habari aliyosoma kwenye mitandao na magazeti? Hivi ina maana hakwenda na hoja za wananchi wake toka jimboni mwake waliomtuma bungeni? Kuna wabunge si wawakilishi wa watu waliowapigia kura.Shilinde ni mmoja wao kaamua kuwa mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti.
Naomba Shilinde akinyoosha mkono kutaka kuongea spika awe anamwambia haya sasa ni zamu ya mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti ongea!