Silaha za Maangamizi (weapons of mass destruction)

Silaha za Maangamizi (weapons of mass destruction)

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,742
tunguliiiii.jpg
 

Attachments

  • Tunguli.jpg
    Tunguli.jpg
    185.8 KB · Views: 824
kuna uhusiano gani kati ya tasbihi na tunguri? Naomba unijibu kutokana na hiyo picha uliyoipost my bro MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
kuna uhusiano gani kati ya tasbihi na tunguri? Naomba unijibu kutokana na hiyo picha uliyoipost my bro MziziMkavu
Tasbihi ina siri yake au hata Rozari ina siri yake katika mambo ya uganga siwezi kukwambia zaidi ya hapo Nazjaz Mambo mengine ni ya Siri huwezi kumwambia kila mtu Samahani.
 
Last edited by a moderator:
Ukiwaona hawa Viumbe usiku tafadhali usiwapige hawa ni watu Paka watu hawa

Zamani pengine lakini siku hizi hapana. Nikiliita tu jina hili Yesu basi hutawaona hawa. Niliwahi kukutana na kundi kubwa la watu wa aina hii usiku mtoni kule Usukumani. Nilipiga magoti, nikanyanyua mikono yangu juu nikaiita Zaburi 23:1-10 kwa sauti kuu.

Nilipofungua macho sikuona kitu na kesho yake kukawa na vilio sehemu mbili hapo kijijini. Ukimwamini Yesu kwa moyo wote hatakaa uogope mchawi tena na utakuwa umefunguliwa.

Aaaaargh ni raha iliyoje kuishi katika uhuru na kivuli cha jina hili lenye nguvu. YESU KRISTO WA NAZARETH!!!
 
Zamani pengine lakini siku hizi hapana. Nikiliita tu jina hili Yesu basi hutawaona hawa. Niliwahi kukutana na kundi kubwa la watu wa aina hii usiku mtoni kule Usukumani. Nilipiga magoti, nikanyanyua mikono yangu juu nikaiita Zaburi 23:1-10 kwa sauti kuu.

Nilipofungua macho sikuona kitu na kesho yake kukawa na vilio sehemu mbili hapo kijijini. Ukimwamini Yesu kwa moyo wote hatakaa uogope mchawi tena na utakuwa umefunguliwa.

Aaaaargh ni raha iliyoje kuishi katika uhuru na kivuli cha jina hili lenye nguvu. YESU KRISTO WA NAZARETH!!!

Haya kaka.@Shimba ya Buyenze Kaa na imaniyako itakusaidia "Kamwe Usimwamini Mwanasiasa Hata Kama ni Babako Mzazi" Shimba ya Buyenze (2015)
 
Haya kaka.@Shimba ya Buyenze Kaa na imaniyako itakusaidia "Kamwe Usimwamini Mwanasiasa Hata Kama ni Babako Mzazi" Shimba ya Buyenze (2015)

Asante MziziMkavu kingunge wa wachawi. Ni kweli. Kila mtu na ashike imani yake na kuabudu anachokiamini na kinachomsaidia katika maisha yake.

Yote kwa yote tusivimbishe vichwa sana na kujisahau hata kama tuwe wachawi wenye nguvu kiasi gani, siku yetu ikifika tutaiacha dunia hii na kwenda mbele ya haki. Tuishi kwa kutenda wema, kusaidia masikini huku tukijua kuwa vyote tulivyonavyo tutaviacha. Ubarikiwe mkuu!

...and yes. Kamwe Usimwamini mchawi hata kama ni babako mzazi. Siku akibanwa na wachawi wenzake huko anaweza kukutoa kafara...
 
Asante MziziMkavu kingunge wa wachawi. Ni kweli. Kila mtu na ashike imani yake na kuabudu anachokiamini na kinachomsaidia katika maisha yake.

Yote kwa yote tusivimbishe vichwa sana na kujisahau hata kama tuwe wachawi wenye nguvu kiasi gani, siku yetu ikifika tutaiacha dunia hii na kwenda mbele ya haki. Tuishi kwa kutenda wema, kusaidia masikini huku tukijua kuwa vyote tulivyonavyo tutaviacha. Ubarikiwe mkuu!

...and yes. Kamwe Usimwamini mchawi hata kama ni babako mzazi. Siku akibanwa na wachawi wenzake huko anaweza kukutoa kafara...

Usimwamini Mwana Siasa yoyote hata kama ni baba yako siku akitaka kushinda uchaguzi anaweza kukutoa wewe kafara haya umenielewa vizuri.
 
Nimeshakupata mkuu. Kuna kitu nitakuuliza pembeni. Blessings!
Haya hakuna shida mkuu.SHIMBA YA BUYENZE Usisahau kusoma kila wakati:

Zaburi23:1-6

Mlango 23

1 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.

2
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

3
Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.

4
Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

5
Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.

6
Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele

Emin.
 
dah spidi zote nikajua nakutana na atomic bomb, AK47 nk.

ha ha ha kumbe tunguli??
 
Tasbihi ina siri yake au hata Rozari ina siri yake katika mambo ya uganga siwezi kukwambia zaidi ya hapo Nazjaz Mambo mengine ni ya Siri huwezi kumwambia kila mtu Samahani.

hata Kwenye PM?
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mwanasiasa jua kunavita na unafiki. Kwao kuuwana ni sekunde na kupatana ni sekunde hiyo hiyo. Yes and No. Hawana misimamo ya kudumu.
 
kuna uhusiano gani kati ya tasbihi na tunguri? Naomba unijibu kutokana na hiyo picha uliyoipost my bro MziziMkavu

Nazjaz;
Zile punje zina mahesabu yake. Huoni ajab kuwa dini zote zinazotumia tasbihi ziliweka punje zinazolingana kimahesabu?? Hata walioubuni mtungo wake wamefuata the same patern??
Hayo ni kwa ajili ya kuwaita wahusika kukujia ila isiogope lipo jina lipitalo hayo ya hao nalo ndilo kinga kwetu.
 
Ha ha,kwahiyo wakristo hawarogeki?.

Aaaaaaaha ha ha,watu bana,dini haaitaji kufanyiwa marketing kama unatangaza kinywaji cha cocacola bana,


ukweli mi siamini mambo ya uchawi cause sijawahi kuona,nawaonaga paka usiku sawa naona ni paka tu mnyama siamini kuwa anaweza kuwa mtu na si kuwa nasari sana,nina miaka 15 sijaingia nyumba ya ibada,
 
kuamini jina la binadamu mwenzako aliepewa cheo cha utume ni upuuzi uliopitiliza,MUNGU mkuu alieumba kila kilichopo dunian na mbinguni ndie wa kumtegemea na sio kiumbe chochote wala binadamu yeyote,ukiamini jina la binadam mwenzako linakuponya amini hata la baba au mama yako linauwezo sababu yote ni majina tu.
 
Back
Top Bottom